Kilichowafika Bilal, Pinda, Jaji Ramadhani, Sitta
SABABU za kukatwa kwa viongozi waandamizi na watu mashuhuri kwenye mchakato wa kuwania urais kupi
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
10 years ago
Habarileo18 Jun
Jaji Ramadhani achomoza urais
JAJI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Agustino Ramadhani (70) ambaye kwa sasa ni Rais wa Mahakama ya Afrika, amepandisha joto la urais ndani ya CCM, baada ya jana kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Jaji Ramadhani awa mchungaji Anglikana
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Kwa nini haikuwa Jaji Ramadhani?
KUNA swali linahitaji kujibiwa na ninaamini linastahili kujibiwa.
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Siku Jaji Ramadhani alipomkatalia Rais
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ni merikebu inayoelea shelabela katika bahari iliyochafuka.
Ahmed Rajab
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
MC Mkongwe ampongeza Jaji Augustino Ramadhani
MSHEREHESHAJI maarufu nchini, MC Mackie G. Mdachi ‘MC Mkongwe’ amempongeza Mwanafani mwenzao Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu. Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0049.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200430-WA0049.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya mwaka 2006.Taarifa iliyotolewa leo na Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kelvin Mhina ilieleza kwamba taratibu zote za mazishi na maandalizi zinafanywa na kusimamiwa na...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Jaji Ramadhani aeleza mipaka Bunge la Katiba