Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda akera polisi

HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenda kuhani msiba wa mtoto wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga ‘Mawe Matatu’, bila kufika hospitalini Bugando kumjulia hali askari aliyejeruhiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mamba akera wananchi Nyansalala

WANANCHI wa Kijiji cha Nyansalala, Kata ya Bukondo, wilayani Geita wameiomba serikali Mkoa wa Geita kuwasaidia kumuua mamba anayewinda watu  na wanyama kandokando mwa Ziwa Victoria. Wakizungumza kwa nyakati tofauti...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda, Polisi, Sitta, ‘wamjeruhi’ JK

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

Na Waandishi Wetu

KWA nyakati tofauti; Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Jeshi la Polisi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kwa kauli na vitendo vyao, bila kujua wamejikuta wanamweka pabaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzi na jana umebaini kuwa mitaani watu wanasema wazi kuwa kupigwa ovyo kwa watu na askari polisi, wakiwamo waandishi wa habari, katika siku za hivi...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kituo cha polisi cha wilaya ya Uyui akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tabora, Oktoba 11, 2014. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe Fatuma Mwasa na Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Mhe. Lucy Mayenga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, ACP Suzan Kaganda (kulia) baada ya kufungua kituo cha polisi cha wilaya ya Uyui akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tabora, Oktoba 11, 2014.(Picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani