Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamba akera wananchi Nyansalala

WANANCHI wa Kijiji cha Nyansalala, Kata ya Bukondo, wilayani Geita wameiomba serikali Mkoa wa Geita kuwasaidia kumuua mamba anayewinda watu  na wanyama kandokando mwa Ziwa Victoria. Wakizungumza kwa nyakati tofauti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda akera polisi

HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenda kuhani msiba wa mtoto wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga ‘Mawe Matatu’, bila kufika hospitalini Bugando kumjulia hali askari aliyejeruhiwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mamba ala mwanafunzi

MWANAFUNZI wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ugalla, Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi,  Yohana Ramadhani (14), ameliwa na Mamba wakati akioga na wenzake katika mto Ugalla. Kwa mujibu wa Diwani...

 

11 years ago

Mwananchi

Jasiri wa kulishana na mamba

Jamaa mmoja huko Afrika Kusini alishangaza watalii aliokuwa anawatembeza kwenye hifadhi ya wanyama baada ya kuonyesha umahiri wake katika kucheza na mamba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzee anayeishi na Mamba Burundi

Kutana na mzee huyu anayefuga Mamba nyumbani kwake katika mtaa wa Gatumba mjini Bujumbura Burundi

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge msilie machozi ya Mamba

KITENDO  cha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuamua kusimama kidete na kuonyesha ushupavu na nguvu za kuikalia kooni serikali kuhusu kashfa ya Escrow kusifanane na machozi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamba waleta maafa DRC

Wakaazi wa Kijiji cha Mboko mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo wanakabiliwa na tatizo la mamba anayesumbua usalama wao

 

11 years ago

Mwananchi

Msafara wa mamba, kenge hawakosi

Katika kipindi cha hivi karibuni muziki wa Hip Hop hapa nchini umeendelea kufanya poa sokoni, kutokana na kasi kubwa ya mizuka inayojidhihirisha kwa mashabiki hao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa

SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je wajua siri ya Mamba usingizini?

Wataalamu wa masuala ya wanyama wamegundua kwamba, mamba ana uwezo wa kulala huku jicho lake moja likiwa wazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani