Mzee anayeishi na Mamba Burundi
Kutana na mzee huyu anayefuga Mamba nyumbani kwake katika mtaa wa Gatumba mjini Bujumbura Burundi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-26jEOGEgDQo/Xq8HU3Jw9ZI/AAAAAAALo9w/kAWYerNxlL4B4fc7p0cLsKbsoCbxH3L7QCLcBGAsYHQ/s72-c/0_Jo-Ann-Ussery-Misc.jpg)
MBUNIFU WA NYWELE ANAYEISHI NDANI YA NDEGE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
JO Ann mbunifu wa nywele amebadilisha ndege iliyotelekezwa katika moja ya karakana huko Greenwood kwa kutengeneza vyumba vitatu, sehemu ya kupumzika na jiko.
Ann aliibadilisha ndege hiyo ya abiria Boeing 727 na kuiita jina la Rais wa Marekani Donald Trump.
Makazi hayo yanapatikana huko Benoit, Mississippi karibu na uwanja wa ndege wa Greenwood.
Imeelezwa kuwa Ann alianzisha makazi hayo mapya aliyoyaita "Nyumba bora ulimwenguni" mara baada ya makazi yake...
11 years ago
Habarileo23 Feb
Anayeishi chooni Hai ataka kujinufaisha
BAADA ya mvua kubwa na upepo mkali iliyosababisha maafa katika maeneo mengi ya wilaya ya Hai, hali hiyo imeanza kutumiwa ndivyo sivyo na baadhi ya wananchi wakitegemea kunufaika na misaada mbalimbali.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmYFFBmLqwgg0QRTkJshxWi9xchavY66Kn85ro1V8SozCHZspaEcnPJ4FhVX0KL2zN6qT-VyuNQCTR6iOQWV5pit/maajabu.jpg?width=650)
ANAYEISHI KWENYE HANDAKI BALAA JIPYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKdK-ZLmf06S7IDfy*Fgo1BHE0DmZKfNRcoAq2pD2ODBW7gTHd5RzgQNY5Yy7cWDifgfr*55V5l6Is4A8qbeN0wb/nomasana.gif?width=650)
MKE ANAYEISHI NA WAUME WAWILI MAPYA YAIBUKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uFzgqouAkg0/XmlEGyRG8II/AAAAAAALiqk/ka1dKqYIMvAWt5ZZLnuM7m9cxMPBVUsxQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4751-04.19.50aAAA-768x846.jpg)
MAJALIWA APEWA KITABU NA MBUNGE WA ZAMBIA ANAYEISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uFzgqouAkg0/XmlEGyRG8II/AAAAAAALiqk/ka1dKqYIMvAWt5ZZLnuM7m9cxMPBVUsxQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_4751-04.19.50aAAA-768x846.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Jun
Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;
Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.
Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...
9 years ago
Bongo501 Oct
Mke aliyetelekezwa na Rais tajiri wa Gabon Ali Bongo aomba talaka, ni mmarekani anayeishi LA!
10 years ago
Michuzi11 Sep
msamaria mwema atuma wheelchair kwa mama scholastica Mhagama mlemavu anayeishi mpweke huko Peramiho, Songea
![](http://www.yesmobility.com/sitebuildercontent/sitebuilderpictures/Tuffcare/venture_227_manual_wheelchair.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...