Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;

Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.

Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAMA NA MWANA NDANI YA PAZI REUNION H-TOWN

Itika akiwa na mwanae wakihudhuria tamasha la Pazi Reunion lililofanyika leo Jumamosi March 14, 2015 Houston, Texas na kuungwa mkono na Watanzania kutoka kila kona nchini Marekani.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNIFU WA NYWELE ANAYEISHI NDANI YA NDEGE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
JO Ann mbunifu wa nywele amebadilisha ndege iliyotelekezwa katika moja ya karakana huko Greenwood kwa kutengeneza vyumba vitatu, sehemu ya kupumzika na jiko.
Ann aliibadilisha ndege hiyo ya abiria Boeing 727  na kuiita jina la Rais wa Marekani Donald Trump.
Makazi hayo yanapatikana huko Benoit, Mississippi karibu na uwanja wa ndege wa Greenwood.
 Imeelezwa kuwa Ann alianzisha makazi hayo mapya aliyoyaita "Nyumba bora ulimwenguni"  mara baada ya makazi yake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara: Na mimi pia ni Binadamu.....

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ameyasema hayo jana kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha akiwa yupo mzigoni .

“Nafanya kile nachojickia kufanya na ninapofanya nahakikisha nafanya kwa juhudi na vizuri zaidi, Hisia za maumivu zinaweza kunifunga mdomo nikakosa la kuongea ila machoni ntaliaaaaa,,Najaribu kufanya kila zuri kulinda heshima na utu wangu ni vema kujua mimi pia kuna muda nakula,nalala,naoga pia kuna mazuri na mabaya katika jamii inayonizunguka tofauti na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara: Hakuna na Mwanamke ‘Used’

Utamuacha Mwanamke fulani kwa kashfa zote na kejeli za kila namna kwamba hafai na haoleki ILA Mwanaume yule atamchukua na kudate nae na pengine atamuoa na wataishi kwa furaha na kuzaa watoto,atasahau hata kama uliwahi kuwa Boy wake na kashfa zako...Kapata Perfect Match yake....Mwanamke fulani ataachwa na wewe utakutana nae na kumpokea,na pengine utamuoa na kuishi kwa amani. Umepata Perfect match yako..Hii inaitwa Love Circle...

Hakuna Mwanaume wala Mwanamke 2nd hand/Used kwamba hafai...Kama...

 

10 years ago

Mtanzania

Wastara: Hakuna kazi rahisi duniani

WastaraNA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara:Hakuna Kazi Rahisi Duniani

MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.

Akizungumzia kuhusu ugumu wa kazi yake ya kuigiza, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.

“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.

Wastara alisema ugumu ambao...

 

10 years ago

Michuzi

msamaria mwema atuma wheelchair kwa mama scholastica Mhagama mlemavu anayeishi mpweke huko Peramiho, Songea

Kuna masamalia mwema ametuma Wheelchair kwa Scholastica Mhagama (76)  mwenye ulemavu wa viungo anayeishi pekee yake katika kibanda kilichoezekwa kwa nyasi.Bibi huyo mkazi wa Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma, Msamalia huyu kutoka Maryland Marekani anaitwa Joyce Rwehumbiza aliguswa na stori iliyotoka Globu ya Jamii (BOFYA HAPA)  na baadaye kuandikwa na magazeti kadhaa  na kuweka mawasiliano ya   albano.midelo@gmail.com, 0688551355 iliyobeba kichwa cha habari...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki

Wastara na Mlela

Wastara na Mlela

Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni      Yusuph Mlela au Mlelandro.

Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE


Rais Uhuru Kenyatta wa KenyaHaki miliki ya pichaAFPImage captionRais Uhuru Kenyatta wa KenyaRais Uhuru Kenyatta ametangaza mipango ya kusaidia biashara na raia kusonga mbele katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi kwasababu ya janga la virusi vya coronaRais amehutubia taifa kutoka Ikulu ya rais, Nairobi na kusema kwamba mipango hiyo itagharimu shilingi bilioni 53.7.Katika hotuba yake, rais alisema pesa hizo zitagawanywa katika sekta muhimu kama vile miundo mbinu, elimu, biashara ndogo ndogo na za wastani, afya,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani