Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;
Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.
Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Mar
MAMA NA MWANA NDANI YA PAZI REUNION H-TOWN
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-26jEOGEgDQo/Xq8HU3Jw9ZI/AAAAAAALo9w/kAWYerNxlL4B4fc7p0cLsKbsoCbxH3L7QCLcBGAsYHQ/s72-c/0_Jo-Ann-Ussery-Misc.jpg)
MBUNIFU WA NYWELE ANAYEISHI NDANI YA NDEGE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
JO Ann mbunifu wa nywele amebadilisha ndege iliyotelekezwa katika moja ya karakana huko Greenwood kwa kutengeneza vyumba vitatu, sehemu ya kupumzika na jiko.
Ann aliibadilisha ndege hiyo ya abiria Boeing 727 na kuiita jina la Rais wa Marekani Donald Trump.
Makazi hayo yanapatikana huko Benoit, Mississippi karibu na uwanja wa ndege wa Greenwood.
Imeelezwa kuwa Ann alianzisha makazi hayo mapya aliyoyaita "Nyumba bora ulimwenguni" mara baada ya makazi yake...
10 years ago
Bongo Movies31 Mar
Wastara: Na mimi pia ni Binadamu.....
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ameyasema hayo jana kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha akiwa yupo mzigoni .
“Nafanya kile nachojickia kufanya na ninapofanya nahakikisha nafanya kwa juhudi na vizuri zaidi, Hisia za maumivu zinaweza kunifunga mdomo nikakosa la kuongea ila machoni ntaliaaaaa,,Najaribu kufanya kila zuri kulinda heshima na utu wangu ni vema kujua mimi pia kuna muda nakula,nalala,naoga pia kuna mazuri na mabaya katika jamii inayonizunguka tofauti na...
10 years ago
Bongo Movies19 May
Wastara: Hakuna na Mwanamke ‘Used’
Utamuacha Mwanamke fulani kwa kashfa zote na kejeli za kila namna kwamba hafai na haoleki ILA Mwanaume yule atamchukua na kudate nae na pengine atamuoa na wataishi kwa furaha na kuzaa watoto,atasahau hata kama uliwahi kuwa Boy wake na kashfa zako...Kapata Perfect Match yake....Mwanamke fulani ataachwa na wewe utakutana nae na kumpokea,na pengine utamuoa na kuishi kwa amani. Umepata Perfect match yako..Hii inaitwa Love Circle...
Hakuna Mwanaume wala Mwanamke 2nd hand/Used kwamba hafai...Kama...
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Wastara: Hakuna kazi rahisi duniani
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu...
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Wastara:Hakuna Kazi Rahisi Duniani
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumzia kuhusu ugumu wa kazi yake ya kuigiza, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu ambao...
10 years ago
Michuzi11 Sep
msamaria mwema atuma wheelchair kwa mama scholastica Mhagama mlemavu anayeishi mpweke huko Peramiho, Songea
![](http://www.yesmobility.com/sitebuildercontent/sitebuilderpictures/Tuffcare/venture_227_manual_wheelchair.jpg)
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki
![Wastara na Mlela](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA24.jpg)
Wastara na Mlela
Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni Yusuph Mlela au Mlelandro.
Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...
5 years ago
CCM Blog24 May
RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE
![Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/BC18/production/_112425184_kenyatta.jpg)