msamaria mwema atuma wheelchair kwa mama scholastica Mhagama mlemavu anayeishi mpweke huko Peramiho, Songea
Kuna masamalia mwema ametuma Wheelchair kwa Scholastica Mhagama (76) mwenye ulemavu wa viungo anayeishi pekee yake katika kibanda kilichoezekwa kwa nyasi.Bibi huyo mkazi wa Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma, Msamalia huyu kutoka Maryland Marekani anaitwa Joyce Rwehumbiza aliguswa na stori iliyotoka Globu ya Jamii (BOFYA HAPA) na baadaye kuandikwa na magazeti kadhaa na kuweka mawasiliano ya albano.midelo@gmail.com, 0688551355 iliyobeba kichwa cha habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Msamaria mwema kutoka Maryland atoa msaada wa Wheelchair kwa kikongwe aliyekata tamaa kuishi
Msamaria mwema ametoa Wheelchair kwa Scholastica Mhagama (76) mwenye ulemavu wa viungo anayeishi pekee yake katika kibanda kilichoezekwa kwa nyasi.
Bibi huyo mkazi wa Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma, Msamaria huyu kutoka Maryland Marekani Bi. Joyce Rwehumbiza aliguswa na stori iliyoandikwa na gazeti la Mwananchi iliyoweka mawasiliano na albano.midelo@gmail.com, 0688551355 iliyobeba kichwa cha habari “Bibi ajitengenezea jeneza baada ya kuchoshwa na...
11 years ago
Michuzimsamaria mwema wa uingereza atuma misaada kwa mzazi wa mapacha wanne wa mbeya
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Mfanyakazi wa Hospitali ya Peramiho Songea ajinyonga
Mwili wa Fredrick Mgaya (60) ukiwa unaning’inia katika mti aliojinyongea , Tunaomba radhi kwa picha hii.
Na Mwandishi wetu Peramiho
Songea Mwanaume mmoja Fredrick Mgaya (60), mkazi wa Peramiho, Songea mkoani Ruvuma amejinyonga usiku wa kuamkia leo katika maeneo yaliyo karibu na viwanja vya michezo vya Abasia kijijini Peramiho.
Mwanaume huyo aliyekuwa akifanya kazi kitengo cha maabara katika Hospitali ya Peramiho na kustaafu mnamo mwezi aprili mwaka huu amekutwa amejinyonga majira ya...
10 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla kikazi ndani ya jimbo la peramiho-songea.
11 years ago
MichuziMAMA MARIA NYERERE ATUMA SALAAM KWA MZEE KENETH KAUNDA WA ZAMBIA
10 years ago
Bongo Movies25 Jun
Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;
Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.
Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
JK atuma salam za rambirambi za msiba wa mama mzazi wa Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale, mwili wasafirishwa kwenda Mbeya leo kwa mazishi
Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumu mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa...
10 years ago
VijimamboRAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI ZA MSIBA WA MAMA MZAZI WA KULWA,DOTTO NA NICO MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA LEO KWA MAZISHI.