Msamaria mwema kutoka Maryland atoa msaada wa Wheelchair kwa kikongwe aliyekata tamaa kuishi
Msamaria mwema ametoa Wheelchair kwa Scholastica Mhagama (76) mwenye ulemavu wa viungo anayeishi pekee yake katika kibanda kilichoezekwa kwa nyasi.
Bibi huyo mkazi wa Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma, Msamaria huyu kutoka Maryland Marekani Bi. Joyce Rwehumbiza aliguswa na stori iliyoandikwa na gazeti la Mwananchi iliyoweka mawasiliano na albano.midelo@gmail.com, 0688551355 iliyobeba kichwa cha habari “Bibi ajitengenezea jeneza baada ya kuchoshwa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi11 Sep
msamaria mwema atuma wheelchair kwa mama scholastica Mhagama mlemavu anayeishi mpweke huko Peramiho, Songea
11 years ago
Michuzimsamaria mwema wa uingereza atuma misaada kwa mzazi wa mapacha wanne wa mbeya
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Abood atoa msaada kwa wajasiriamali
MBUNGE wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ametoa misaada ya vifaa vya ujenzi na fedha kwa vikundi vya wajasiriamali 15 vyote vikiwa na thamani ya sh milioni 17.5 ikiwa ni utekelezaji...
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ridhiwani Kikwete atoa msaada kwa Jeshi la Polisi Chalinze
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akizungumza na uongozi wa polisi Mkoa wa Pwani na Wilaya ya Kipolisi ya Chalinze pamoja na wananchi waliojitokeza katika hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali kwa jeshi hilo zikiwemo kompyuta, mifuko ya Saruji pamoja na fedha vilivyotolewa na mbunge huyo, Kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali yanayolikabili jeshi la polisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya ulizni na usalama wa raia na mali zao. Pamoja na kukabidhi kompyuta hizo...
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
5 years ago
MichuziIKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
10 years ago
MichuziJK atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
10 years ago
GPLMBUNGE WA ILALA ATOA MSAADA WA JEZI KWA TIMU YA ASHANTI UNITED
5 years ago
MichuziDIWANI KATA YA BOMAMBUZI ATOA MSAADA WA BARAKOA,VITAKASA MIKONO KWA WAFANYABIASHARA
DIWANI wa Kata ya Bomambuzi na Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Juma Raibu amekabidhi barakoa 100,vitakasa mikono pamoja na ndoo kwa wafanyabiashara wa Soko la Pasua ili kujikinga na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kutikisa Dunia.
Akizungumza wakati akikabidhi vifaa hivyo, Diwani huyo amesema kuwa ameamua kutoa vifaa vya kujikinga na Corona kwa wananchi hao ,ili kuendelea kuchukuwa taathari
Amesemambali na kutoa...