Mfanyakazi wa Hospitali ya Peramiho Songea ajinyonga
Mwili wa Fredrick Mgaya (60) ukiwa unaning’inia katika mti aliojinyongea , Tunaomba radhi kwa picha hii.
Na Mwandishi wetu Peramiho
Songea Mwanaume mmoja Fredrick Mgaya (60), mkazi wa Peramiho, Songea mkoani Ruvuma amejinyonga usiku wa kuamkia leo katika maeneo yaliyo karibu na viwanja vya michezo vya Abasia kijijini Peramiho.
Mwanaume huyo aliyekuwa akifanya kazi kitengo cha maabara katika Hospitali ya Peramiho na kustaafu mnamo mwezi aprili mwaka huu amekutwa amejinyonga majira ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Aug
Mzimu wa kujinyonga waendelea kutikisa Peramiho, mtu mwingine ajinyonga tena
Mwili wa Rashid Athuman ukiwa unaning’inia katika kitanzi ambacho alikifunga chooni kabla ya kujinyonga kasha kujifungia chooni.
Mwili wa Rashid Athuman ukishushwa na wasamaria wema kutoka kwenye kitanzi kwa kwa kushirikiana na Jeshi la polisi.
Mwili wa Rashid Athuman ukiwa unahifadhiwa katika chumba cha kuhifadhiwa maiti katika hospital ya Peramiho.
Hiki ni chumba ambacho marehemu alikuwa amepanga na kinachoonekana ni kitanda ambacho alikuwa anatumia kulala yeye na mke wake .
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zhWwa34nuFY/VT9KWkN37LI/AAAAAAAHTv4/g3DNapRZb-Q/s72-c/unnamed.jpg)
Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla kikazi ndani ya jimbo la peramiho-songea.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zhWwa34nuFY/VT9KWkN37LI/AAAAAAAHTv4/g3DNapRZb-Q/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Sep
msamaria mwema atuma wheelchair kwa mama scholastica Mhagama mlemavu anayeishi mpweke huko Peramiho, Songea
![](http://www.yesmobility.com/sitebuildercontent/sitebuilderpictures/Tuffcare/venture_227_manual_wheelchair.jpg)
11 years ago
Habarileo03 Aug
Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Mfanyakazi Namtumbo hospitali mbaroni kwa mauaji
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya kumchoma moto Sofia Mwingira (34), katika mtaa wa Luseteni wilayani Namtumbo. Wanaoshikiliwa ni mhudumu wa afya wa...
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Majaliwa atembelea NFRA na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Peramiho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa vazi la jadi la Wangoni baada ya kuwasili kwenye kwenye...
10 years ago
Vijimambo04 Jun
Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Qz-ORymulXo/default.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10