Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
Jimbo la PeramihoJimbo la Peramiho ni eneo lote la Halmashauri ya Wilaya ya Songea, maarufu kwa jina la Songea Vijijini. Halmashauri hii inaundwa na kata 19, vijiji 74 na vitongoji 617 na kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 hapa Peramiho kuna wakazi 173,821 wanaume wakiwa 86,548, wanawake 87,273 na kuna wastani wa watu wanne katika kila kaya.Peramiho ni kati ya majimbo ambayo yalikuwa na vuguvugu la mabadiliko mwaka 1995 kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, japokuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 May
KUELEKEA MAJIMBONI: Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga
![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4bb-ZtqKLK8/U8q29P5ZOkI/AAAAAAAF3xU/-BJmBPb3-FM/s1600/unnamed+(11).jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Pombe siyo salama kwa wajawazito
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MdperIYOW4Q/U1f4XDyEtrI/AAAAAAAFchs/dhnOqrQ_Vq4/s72-c/MMG21717.jpg)
barabara zitakuwa salama kweli kwa hali hii??
![](http://1.bp.blogspot.com/-MdperIYOW4Q/U1f4XDyEtrI/AAAAAAAFchs/dhnOqrQ_Vq4/s1600/MMG21717.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YkTKyp_2bjs/U1f4hFlIFqI/AAAAAAAFch0/eRu6V-XeCRc/s1600/MMG21720.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.
Tathmini ya Upigaji Kura
Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Askofu Bagonza: Mipaka ya nchi siyo salama
10 years ago
Mwananchi28 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula