Pombe siyo salama kwa wajawazito
Moja ya vinywaji vinavyopendwa na watu wengi nchini ni pombe. haihitaji kufanya utafiti bali tu macho yako kuthibitisha hili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Jun
Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
Jimbo la PeramihoJimbo la Peramiho ni eneo lote la Halmashauri ya Wilaya ya Songea, maarufu kwa jina la Songea Vijijini. Halmashauri hii inaundwa na kata 19, vijiji 74 na vitongoji 617 na kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 hapa Peramiho kuna wakazi 173,821 wanaume wakiwa 86,548, wanawake 87,273 na kuna wastani wa watu wanne katika kila kaya.Peramiho ni kati ya majimbo ambayo yalikuwa na vuguvugu la mabadiliko mwaka 1995 kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, japokuwa...
10 years ago
Mwananchi24 May
KUELEKEA MAJIMBONI: Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
Jimbo la Peramiho ni eneo lote la Halmashauri ya Wilaya ya Songea, maarufu kwa jina la Songea Vijijini.
11 years ago
Habarileo26 May
Watakaowasaidia wajawazito kujifungua salama kuzawadiwa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, imetangaza donge nono kwa kuwazawadia fedha za motisha watoa huduma kwenye zahanati za Manispaa hiyo watakaowasaidia wajawazito kujifungua salama.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_dV7OI8sLG8/VBACXx_aADI/AAAAAAAGiWw/QndcRmM9E4U/s72-c/Mama-Salma-Kikwete.jpg)
WAJAWAZITO WAKIJIFUNGUA KATIKA MAZINGIRA SALAMA VIFO VYAO VITAPUNGUA - SALMA KIKWETE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_dV7OI8sLG8/VBACXx_aADI/AAAAAAAGiWw/QndcRmM9E4U/s1600/Mama-Salma-Kikwete.jpg)
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Mama Salma Kikwete wakati akiongea na viongozi wa Bohari ya Dawa (MSD) iliyopo Keko Jijini Dar es Salaam.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alitembelea makao makuu ya MSD kwa ajili ya kuangalia vifaa tiba ikiwa ni pamoja na vifaa vya...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Askofu Bagonza: Mipaka ya nchi siyo salama
>Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Dk.Benson Bagonza ameonyesha wasiwasi wake kuhusu hatua ambazo Serikali inachukua katika kudhibiti kuingia kwa ugonjwa wa Ebola kwenye mipaka ya Taifa.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama
“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salamaâ€
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kuzaliana kwa wingi huongeza vifo kwa wajawazito
Hivi karibuni dunia iliadhimisha Siku ya Utepe Mweupe na Uzazi Salama, ambayo iliambatana na kaulimbiu ya, ‘Wajibika Mama Aishi’.
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTC9q3GLfZFBFgOlt1acH1kBfoJlNF1TJqEMSAsO1IjyvdAJf1UnjqqPUxeRwfPGVd6iWeDTPm3SAPC*C9ecZEN/PregnantWoman.jpg?width=650)
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-2
Toleo lililopia tulichambua athari za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, tukaeleza mengi. Endelea... Ugonjwa huu unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana bila kutumia kinga (ngono zembe) dhidi ya mtu mwenye ugonjwa huo. Njia nyingine ni mwanamke aliyeambukizwa ugonjwa huo wakati wa ujauzito anaweza kumuambukiza mtoto wake wakati wa ujauzito. Pia huambukizwa kupitia michubuko au mipasuko kwenye ngozi wakati wa kufanya ngono zembe.
...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania