barabara zitakuwa salama kweli kwa hali hii??
![](http://1.bp.blogspot.com/-MdperIYOW4Q/U1f4XDyEtrI/AAAAAAAFchs/dhnOqrQ_Vq4/s72-c/MMG21717.jpg)
Kamera ya Globu ya Jamii,mchana wa leo imeshuhudia vijana hawa ambao hawakuweza kutambulika majina yao mara moja,wakisombelea mchana kutoka katika mtaro wa kupitisha maji kando kando ya barabara ya inayoelekea kwenye hoteli ya White Sands kutokea Afrikana,Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam na kupakia kwenye gari kama waonekanavyo pichani.Hali hiyo inapelekea kuchimbika kwa kingo za barabara hiyo hasa pale maji yanapopita kwa wingi pindi inyeshapo mvua kubwa.
Wengine walikuwa bize kupakia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama
10 years ago
Vijimambo04 Jun
Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
10 years ago
Mwananchi24 May
KUELEKEA MAJIMBONI: Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Kwa hali hii nauona mwisho wa Serikali ya CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqLtVvXU0OjQ7eb*rgb7QMPmDsO5CH3lBq7VVtCBcPv5c8TlLeRhPDZ-fv*C0DJ49lJO0mn5yDMSkmsZLsphAhY/FRONTAMANI1.jpg)
GARDNER KWA HALI HII SASA IDE BASI TENA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-cjPGxrGqWGc/VF4KGHtEqoI/AAAAAAAAYjo/NT2AFB_briI/s72-c/2014-11-08%2B12.32.14.jpg)
HII NDIO BARABARA ILIYOKARABATIWA KWA MILIONI 90 UKONGA MAZIZINI- MOSHI BAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-cjPGxrGqWGc/VF4KGHtEqoI/AAAAAAAAYjo/NT2AFB_briI/s1600/2014-11-08%2B12.32.14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uS2cwNh2dv0/VF4KRKfzr0I/AAAAAAAAYj4/bkahv4jRyok/s1600/2014-11-08%2B12.32.47.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XCRzGokfb7g/U3rvnvxxMnI/AAAAAAAFjvU/gXz6LbXJe3Q/s72-c/IMG-20140520-WA0000.jpg)
Hali si shwari barabara kati ya Barakuda na Vingunguti
![](http://3.bp.blogspot.com/-XCRzGokfb7g/U3rvnvxxMnI/AAAAAAAFjvU/gXz6LbXJe3Q/s1600/IMG-20140520-WA0000.jpg)
Ni hali mbaya sana. Tunawaomba waliokuwa wanajenga kipande hicho cha barabara watusaidie angalau kusambaza kifusi kilichowekwa kabla hata ya zile mvua kubwa kunyesha.
Mdau - Tabata Segerea
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6qiS0Rfn2U/U3rvnlHjrtI/AAAAAAAFjvc/3-5b2DQ8Zdk/s1600/IMG-20140520-WA0002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lx_CP07sKPI/U3rvnuelMOI/AAAAAAAFjvQ/8nKPT-qaRXw/s1600/IMG-20140520-WA0003.jpg)