Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali si shwari barabara kati ya Barakuda na Vingunguti

Hii ndiyo halisi ilivyo kwenye kipande cha barabara kati ya Tabata Barakuda na Daraja la Vingunguti, kabla ya kufika kwenye machinjio.
Ni hali mbaya sana. Tunawaomba waliokuwa wanajenga kipande hicho cha barabara watusaidie angalau kusambaza kifusi kilichowekwa kabla hata ya zile mvua kubwa kunyesha.
Mdau - Tabata Segerea

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Adha ya barabara ya Tabata Barakuda kuelekea Daraja la Vingunguti

Salaam Ankal! Jamani hii ndio adha tunayopata wakazi wa maeneo ya Tabata Segerea na Kinyerezi tunaotumia barabara inayoingia Barakuda kupitia Daraja la Vingunguti. Wahusika watusaidie angalau kusambaza kifusi tu wakati wakiendelea kujipanga kuendelea na ujenzi. Huwezi amini hii ni sehemu ya Jiji la Dar es salaam! ! Siku njema Ankal. Mdau, Tabata.
Sent from my Samsung Galaxy Note

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Afrika ya kati si shwari

wagombea wa uraisi Jamhuri ya afrika ya kati wametoa wito wa kura zilizopigwa kufutwa kwa madai ya kuwepo kwa ulaghai.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari nchini

>Ni dhahiri kwamba sasa hali si shwari nchini kutokana na mfululizo wa matukio ya uhalifu ikiwamo kuvamiwa vituo vya polisi, kuuawa kwa polisi na jingine kubwa la juzi la mapigano baina ya polisi wakisaidiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya makundi yanayodhaniwa kuwa ni ya ama ujambazi au kigaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari Simba

Wakati kocha Mserbia Goran Kopunovic anayetajiwa kuwasili leo kuchukua nafasi ya Patrick Phiri, wachezaji Simon Sserunkuma, Joseph Owino na Juuko Murshid wameikacha Simba na kurudi kwao Uganda.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari CCM Mwanga

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mwanga, wamekiomba chama hicho kuunda Tume huru kuchunguza madai ya kutolewa kwa kadi zaidi ya 3,000 za uanachama kinyume cha taratibu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hali si shwari Afrika Mashariki’

RAIS wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), James Mwamu, amesema kitendo cha nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanza kutekeleza miradi  yao bila kuzishirikisha Tanzania na Burundi inadhihirisha  kuna...

 

10 years ago

BBCSwahili

Radamel Falcao, hali si shwari

Radamel Falcao yuko fiti kucheza dakika 20 tu

 

11 years ago

Mwananchi

Hali si shwari Tughe Taifa

Hali si shwari katika Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali Kuu (Tughe), baada ya Baraza lake Kuu la Taifa kuwasimamisha viongozi wakuu hadi mkutano mkuu wa chama hicho utakapoitishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani