Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali si shwari Tughe Taifa

Hali si shwari katika Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali Kuu (Tughe), baada ya Baraza lake Kuu la Taifa kuwasimamisha viongozi wakuu hadi mkutano mkuu wa chama hicho utakapoitishwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari Simba

Wakati kocha Mserbia Goran Kopunovic anayetajiwa kuwasili leo kuchukua nafasi ya Patrick Phiri, wachezaji Simon Sserunkuma, Joseph Owino na Juuko Murshid wameikacha Simba na kurudi kwao Uganda.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari nchini

>Ni dhahiri kwamba sasa hali si shwari nchini kutokana na mfululizo wa matukio ya uhalifu ikiwamo kuvamiwa vituo vya polisi, kuuawa kwa polisi na jingine kubwa la juzi la mapigano baina ya polisi wakisaidiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya makundi yanayodhaniwa kuwa ni ya ama ujambazi au kigaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari CCM Mwanga

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mwanga, wamekiomba chama hicho kuunda Tume huru kuchunguza madai ya kutolewa kwa kadi zaidi ya 3,000 za uanachama kinyume cha taratibu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hali si shwari Afrika Mashariki’

RAIS wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), James Mwamu, amesema kitendo cha nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanza kutekeleza miradi  yao bila kuzishirikisha Tanzania na Burundi inadhihirisha  kuna...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, hamkani hali si shwari Ukawa?

Mjadala wa kugawana majimbo na kusimamisha mgombea urais ndani ya Ukawa, umekuwa kimya kutokana na harakati za upande wa pili wa wagombea wa urais kwa tiketi ya CCM kuchukua nafasi ya mjadala mpana mitaani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Radamel Falcao, hali si shwari

Radamel Falcao yuko fiti kucheza dakika 20 tu

 

10 years ago

Mtanzania

ACT hali bado si shwari

NA AGATHA CHARLES
LICHA ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kukishauri Chama cha ACT-Tanzania kurudisha muundo wa uongozi uliokuwepo kabla ya kufukuzana ili kumaliza tofauti zao,lakini ushauri huo umekataliwa.
Katibu Mkuu wamuda wa chama hicho, Samson Mwigamba, alifanya mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam janana kutangaza kupeleka barua ya kupinga ushauri huo.
Akizungumza katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijitonyama, Dar es Salaam, Mwigamba, alisema...

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema Arusha Mjini hali si shwari

LemaELIYA MBONEA NA JANETH MUSHI, ARUSHA
JOTO la Uchaguzi linazidi kupanda mjini hapa, baada ya vijana takribani 1,000 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Jimbo la Arusha Mjini, kutangaza kutomsaidia Mbunge wao Godbless Lema wakati wa kampeni.
Vijana hao wakiongozwa na aliyekuwa dereva wa kwanza wa Lema ambaye pia alikuwa mratibu wa mawakala katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, Rashidi Shuberti, wamekutana mjini hapa na kutangaza kupambana na mbunge huyo.
Wakati kundi hilo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani