Wastara: Na mimi pia ni Binadamu.....
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ameyasema hayo jana kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha akiwa yupo mzigoni .
“Nafanya kile nachojickia kufanya na ninapofanya nahakikisha nafanya kwa juhudi na vizuri zaidi, Hisia za maumivu zinaweza kunifunga mdomo nikakosa la kuongea ila machoni ntaliaaaaa,,Najaribu kufanya kila zuri kulinda heshima na utu wangu ni vema kujua mimi pia kuna muda nakula,nalala,naoga pia kuna mazuri na mabaya katika jamii inayonizunguka tofauti na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
'Usife moyo mpendwa na mimi pia ni mkimbizi'
11 years ago
Michuzi18 Feb
hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania
Kwa kuanzia na bila kupoteza muda, Watanzania wa ughaibuni tunataka masuala yafuatayo yaingizwe kwenye katiba mpya: · Uraia wa nchi mbili; · Haki ya kurudi Tanzania kwa Watanzania na Watu wenye asili ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s72-c/d9.jpg)
aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...
![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s1600/d9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ksZwlT39rZs/UwT1yk7T80I/AAAAAAAFOFM/xdzv2N_as4s/s1600/d12.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Wema: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu
10 years ago
Bongo Movies25 Jun
Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;
Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.
Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...
10 years ago
CloudsFM30 Jan
WASTARA ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA KAMPENI YA ‘NISAIDIE MIMI SHILINGI 500 NIPATE ELIMU’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yU_AFfMHT50/VNvGX84cnmI/AAAAAAAHDLM/P1zyi8NaHes/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yF_1IfhyzA4/VZTUbeQQEnI/AAAAAAAAw5g/5tNWcHk7Cw8/s72-c/wastaranabond.jpg)
Wastara: Nimeamua Kumpa Bond Nafasi ya Kunioa, Mimi Bado Damu Changa Nikisema Siwezi Kuolewa Tena Najidanganya..Nimempa Bond Sharti Hili...
![](http://4.bp.blogspot.com/-yF_1IfhyzA4/VZTUbeQQEnI/AAAAAAAAw5g/5tNWcHk7Cw8/s640/wastaranabond.jpg)
Wastara na Bond MapenziniBrighton Masalu
WASTARA Juma Issa Abeid amekiri kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti.Akifungulia ‘koki’ ya maneno mbele ya paparazi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Wastara ambaye kwa sasa yuko bize kusaka ubunge nyumbani kwao Morogoro Vijijini, alisema hawezi kudanganya kwamba...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...