Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wastara: Hakuna na Mwanamke ‘Used’

Utamuacha Mwanamke fulani kwa kashfa zote na kejeli za kila namna kwamba hafai na haoleki ILA Mwanaume yule atamchukua na kudate nae na pengine atamuoa na wataishi kwa furaha na kuzaa watoto,atasahau hata kama uliwahi kuwa Boy wake na kashfa zako...Kapata Perfect Match yake....Mwanamke fulani ataachwa na wewe utakutana nae na kumpokea,na pengine utamuoa na kuishi kwa amani. Umepata Perfect match yako..Hii inaitwa Love Circle...

Hakuna Mwanaume wala Mwanamke 2nd hand/Used kwamba hafai...Kama...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wastara:Hakuna Kazi Rahisi Duniani

MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.

Akizungumzia kuhusu ugumu wa kazi yake ya kuigiza, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.

“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.

Wastara alisema ugumu ambao...

 

10 years ago

Mtanzania

Wastara: Hakuna kazi rahisi duniani

WastaraNA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki

Wastara na Mlela

Wastara na Mlela

Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni      Yusuph Mlela au Mlelandro.

Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;

Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.

Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...

 

10 years ago

Vijimambo

Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

Kwa wale nitakaowakwaza naomba mniwie radhi lakini kweli hata mimi hainipendezi kuyasema haya ila ni vema tu niwaeleze dada zangu kwasababu ukweli unaoumiza ni bora, kuliko uongo unaofurahisha.Hakuna mwanaume riijali anayeweza kuwa na mwanamke mmoja, eidha awe ameoa au hata kama hajaoa. Hakuna mwanaume wa aina hiyo Karne hii, usijidanganye kukimbilia kwenye ndoa ukiamini kwamba baada ya kuolewa utajimilikisha huyo mwanaume aliyekuoa, never.
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...

 

10 years ago

GPL

SOLOMON MKUBWA KUPAMBA TAMASHA LA HAKUNA MWANAMKE MBAYA

Mwanamuziki wa Injili kutoka Kenya, Solomon Mukubwa. Stori: Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa Injili kutoka Kenya, Solomon Mukubwa anatarajiwa kulipamba tamasha kubwa la Hakuna Mwanamke Mbaya litakalofanyika kesho Jumapili katika Kanisa la Lutherani, Mabibo-External jijini Dar. Akizungumza na mtandao huu, katibu wa Chama cha Waimba Injili nchini, Stella Joel, alisema lengo la tamasha hilo ni kuzindua wimbo wake wa Hakuna Mwanamke...

 

5 years ago

Michuzi

CHUGAZO-HAKUNA MWANAUME ANAKUWA JUU BILA KUSIMAMA KWENYE MABEGA YA MWANAMKE

Mkuu wa Idara ya Ujenzi wa Nguvu za Pamoja (TAPO) TGNP Grace Kisetu akifungua warsha ya kuhusu ufuatiliaji wa kazi za uhamasishaji wa jamii juu ya umuhimu wa wanawake kushiriki katika nafasi na michakato ya maamuzi na uongozi leo Jumamosi Februari 15,2020 katika Ukumbi wa Vijana Center Mjini Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde 1 blog.Mkuu wa Idara ya Ujenzi wa Nguvu za Pamoja (TAPO) TGNP Grace Kisetu akifungua warsha ya kuhusu ufuatiliaji wa kazi za uhamasishaji wa jamii juu ya umuhimu...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kilizindua mkakati wake wa ushindi “Hakuna kulala, hakuna kula mpaka kieleweke” katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kufungua mafunzo yatakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa vyama na Serikali za Mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani