Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOLOMON MKUBWA KUPAMBA TAMASHA LA HAKUNA MWANAMKE MBAYA

Mwanamuziki wa Injili kutoka Kenya, Solomon Mukubwa. Stori: Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa Injili kutoka Kenya, Solomon Mukubwa anatarajiwa kulipamba tamasha kubwa la Hakuna Mwanamke Mbaya litakalofanyika kesho Jumapili katika Kanisa la Lutherani, Mabibo-External jijini Dar. Akizungumza na mtandao huu, katibu wa Chama cha Waimba Injili nchini, Stella Joel, alisema lengo la tamasha hilo ni kuzindua wimbo wake wa Hakuna Mwanamke...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mkenya aalikwa kupamba tamasha la shukurani

MWIMBAJI wa nyimbo za injili kutoka nchini Kenya, B4C, anatarajiwa kunogesha tamasha la shukurani lililopewa jina la ‘Get Together Part 2014 Season II’ linalotarajiwa kufanyika Ukumbi wa Word Alive Sinza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fid Q, Ben Pol kupamba tamasha Iringa

WASANII wa Bongo wanaofanya poa katika muziki wa kizazi kipya, Mfalme wa hip hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’, Mfalme wa Rnb, Ben Paul na mshindi wa tuzo tatu za Kilimanjaro...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama wa mitindo Asia Idarous kupamba siku ya Mwanamke Duniani Zanzibar Machi 22

11072283_933753296658934_392071823375109477_n

..burudani kutolewa na Baby J, Coconut na Zanzibar One Modern taarab

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Machi 22 mwaka huu Kisiwa cha Unguja, Zanzibar kinatarajiwa kuwa na tukio moja kubwa litakalowakutanisha Wanawake mbalimbali na kusheherekea siku ya Mwanamke Dunia, ndani ya ukumbi wa Bwawani Hoteli.

Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vyuo 33 kanda ya Kati na Dar kupamba Tamasha la Elimu

DSC_1943

  Mratibu wa Tamasha la NACTE INTER COLLEGE TANZANIA 2014/2015, Bi, Magreth Kilawe,(kati), akifafanua  kwa waandishi wa habari, kuhusiana na Tamasha la Vyuo vya Elimu ya Kati na Vilivyopata Usajili wa NACTE, mikoa yote ya Tanzania kwa kushirikisha michezo mbali mbali. Kushoto ni Mwakilishi wa Serikali za Wanafunzi na Mshauri wa Chuo cha C.B.E-Dar es salaam, Mr. Stephano na Afisa Uhusiano wa Miss Demokrasia Tanzania, Bi, Rosina Mchomvu.

Na Mwandishi wetu

Zaidi ya vyuo 33 vya Elimu ya Kati,...

 

9 years ago

Mwananchi

MWAJUMA : Hakuna kazi mbaya duniani

Nikiwa kwenye tamasha la kupinga mimba za utotoni, lililofanyika katika ukumbi mmoja wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam (Duce, nashuhudia msichana mmoja akicheza kwa umahiri wa hali ya juu.

 

10 years ago

Michuzi

Klabu 12 za soka za maveterani kupamba Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym

KLABU 12 za timu za soka za maveterani zinazooundwa na nyota wa zamani wa kandanda nchini zinatarajiwa kuchuana katika michezo maalum ya Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym, itakayofanyika Septemba 6 kwenye uwanja wa Mwenge, Dar es Salaam.
Aidha zaidi ya klabu 30 za Jogging nazo zinatarajiwa kupamba tamasha hilo ambalo litahusisha pia michezo mbalimbali ikiwamo ya netiboli, kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia na kukimbiza kuku.
Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, Andrew Mangomango, klabu za...

 

9 years ago

Vijimambo

SARAH K KUPAMBA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU TANZANIA

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la kuombea Amani Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania, Askofu David Mwasota.(Picha na Francis Dande)Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania, Askofu David Mwasota akifafanua jambo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Amani, Alex Msama akifafanua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani