Mkenya aalikwa kupamba tamasha la shukurani
MWIMBAJI wa nyimbo za injili kutoka nchini Kenya, B4C, anatarajiwa kunogesha tamasha la shukurani lililopewa jina la ‘Get Together Part 2014 Season II’ linalotarajiwa kufanyika Ukumbi wa Word Alive Sinza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DDymfPraJsY/VQntE43Q6QI/AAAAAAAHLW8/l5LuZfeo_bM/s72-c/Patron1.jpg)
Mzee Ruksa aalikwa Tamasha la Pasaka
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDymfPraJsY/VQntE43Q6QI/AAAAAAAHLW8/l5LuZfeo_bM/s1600/Patron1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Fid Q, Ben Pol kupamba tamasha Iringa
WASANII wa Bongo wanaofanya poa katika muziki wa kizazi kipya, Mfalme wa hip hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’, Mfalme wa Rnb, Ben Paul na mshindi wa tuzo tatu za Kilimanjaro...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esFSU0p0NfNwJpeIhow5P7Fq9G-QcD1zu71R-wFJYDsKSv7ZL9P6xJPwIp4Hj*kngKs-vOXVrE*vGO31lynV7h44/mukubwa.jpg?width=650)
SOLOMON MKUBWA KUPAMBA TAMASHA LA HAKUNA MWANAMKE MBAYA
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Vyuo 33 kanda ya Kati na Dar kupamba Tamasha la Elimu
Mratibu wa Tamasha la NACTE INTER COLLEGE TANZANIA 2014/2015, Bi, Magreth Kilawe,(kati), akifafanua kwa waandishi wa habari, kuhusiana na Tamasha la Vyuo vya Elimu ya Kati na Vilivyopata Usajili wa NACTE, mikoa yote ya Tanzania kwa kushirikisha michezo mbali mbali. Kushoto ni Mwakilishi wa Serikali za Wanafunzi na Mshauri wa Chuo cha C.B.E-Dar es salaam, Mr. Stephano na Afisa Uhusiano wa Miss Demokrasia Tanzania, Bi, Rosina Mchomvu.
Na Mwandishi wetu
Zaidi ya vyuo 33 vya Elimu ya Kati,...
9 years ago
VijimamboSARAH K KUPAMBA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU TANZANIA
10 years ago
MichuziKlabu 12 za soka za maveterani kupamba Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym
Aidha zaidi ya klabu 30 za Jogging nazo zinatarajiwa kupamba tamasha hilo ambalo litahusisha pia michezo mbalimbali ikiwamo ya netiboli, kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia na kukimbiza kuku.
Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, Andrew Mangomango, klabu za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzScKf2He2X1URAjNV868QLG7u3VMD69OMyFA0UUGaeopW9hOBLuAntuwy9C9TXwjM9Hc*4fhZOqsO8rX1W8kfdX/HEMEDI.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p_zSe1e5ZFA/U8Fsq1z6qZI/AAAAAAAF1o8/NMCL_d5Asfg/s72-c/unnamed+(35).jpg)
PBZ wafutarisha Zanzibar, Rais Shein AAlikwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-p_zSe1e5ZFA/U8Fsq1z6qZI/AAAAAAAF1o8/NMCL_d5Asfg/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wqK8LkNp-Cw/U8FsptMjuDI/AAAAAAAF1o0/dOnplFlwhaQ/s1600/unnamed+(36).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QOMdUIWsshs/U1PEK2aMr-I/AAAAAAAFb_g/jdOWmHfXSYA/s1600/unnamed+(45).jpg)
Msanii wa orijino komedi mpoki aalikwa ujerumani kuhudhuria sherehe za muungano
Mpoki amesema kuwa umuhimu mkubwa wa safari yake ni...