MWAJUMA : Hakuna kazi mbaya duniani
Nikiwa kwenye tamasha la kupinga mimba za utotoni, lililofanyika katika ukumbi mmoja wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam (Duce, nashuhudia msichana mmoja akicheza kwa umahiri wa hali ya juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Wastara: Hakuna kazi rahisi duniani
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu...
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Wastara:Hakuna Kazi Rahisi Duniani
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumzia kuhusu ugumu wa kazi yake ya kuigiza, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu ambao...
11 years ago
Michuzi13 Jul
Msanii wa filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti 'Mwajuma Jimama' ameremeta
![](https://2.bp.blogspot.com/-qNBoeDJKJQw/U8Gpj84EX0I/AAAAAAAAefQ/d_Eiovf0414/s1600/1926661_717240758322070_5857980012469033852_n.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Hakuna mwaka mbaya, ubaya unao mwenyewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esFSU0p0NfNwJpeIhow5P7Fq9G-QcD1zu71R-wFJYDsKSv7ZL9P6xJPwIp4Hj*kngKs-vOXVrE*vGO31lynV7h44/mukubwa.jpg?width=650)
SOLOMON MKUBWA KUPAMBA TAMASHA LA HAKUNA MWANAMKE MBAYA
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
"Kajala ni rafiki MBAYA KULIKO WOTE DUNIANI, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu
HATARI BALAA!, Wema finally kaamua kufunguka kuhusu Kajala. Yani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho, ni hatari sana!
Amedai Kajala is the worst friend she has ever had. Na kasema ana regret kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.
Tusimalize uhondo. Msikilize mwenyewe akiongea HAPA
9 years ago
Mwananchi06 Dec
LEVINA TAWETA : Hakuna kazi ya wanaume pekee
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji
Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku. Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda. Shenda ni moja kati ya vijiji...