Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAJUMA : Hakuna kazi mbaya duniani

Nikiwa kwenye tamasha la kupinga mimba za utotoni, lililofanyika katika ukumbi mmoja wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam (Duce, nashuhudia msichana mmoja akicheza kwa umahiri wa hali ya juu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wastara: Hakuna kazi rahisi duniani

WastaraNA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara:Hakuna Kazi Rahisi Duniani

MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.

Akizungumzia kuhusu ugumu wa kazi yake ya kuigiza, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.

“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.

Wastara alisema ugumu ambao...

 

11 years ago

Michuzi

Msanii wa filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti 'Mwajuma Jimama' ameremeta

 Msanii wa filamu na unenguaji Mwajuma Thabiti 'Mwajuma Jimama' akiwa katika pozi na mume wake Melela Mussa baada ya kufunga ndoa hivi karibuni Ilala Bungoni na kufuatia na mnuso babu  kubwa. Bwana harusi ni mfanya bihashara na Bi Harusi ni msanii wa kujitegemea

 

11 years ago

Mwananchi

Hakuna mwaka mbaya, ubaya unao mwenyewe

Jamani naona mwaka unaisha huku kila mtu akisema lake. Aliyelia kalia na aliyecheka kacheka, lakini wale wa kulalamika pia tunao. Utasikia; Oooh, mwaka haukuwa mzuri kwangu.

 

10 years ago

GPL

SOLOMON MKUBWA KUPAMBA TAMASHA LA HAKUNA MWANAMKE MBAYA

Mwanamuziki wa Injili kutoka Kenya, Solomon Mukubwa. Stori: Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa Injili kutoka Kenya, Solomon Mukubwa anatarajiwa kulipamba tamasha kubwa la Hakuna Mwanamke Mbaya litakalofanyika kesho Jumapili katika Kanisa la Lutherani, Mabibo-External jijini Dar. Akizungumza na mtandao huu, katibu wa Chama cha Waimba Injili nchini, Stella Joel, alisema lengo la tamasha hilo ni kuzindua wimbo wake wa Hakuna Mwanamke...

 

10 years ago

Bongo Movies

"Kajala ni rafiki MBAYA KULIKO WOTE DUNIANI, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu

HATARI BALAA!, Wema finally kaamua kufunguka kuhusu Kajala.  Yani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho, ni hatari sana!

Amedai Kajala is the worst friend she has ever had. Na kasema ana regret kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.

Tusimalize uhondo. Msikilize mwenyewe akiongea HAPA

 

9 years ago

Mwananchi

LEVINA TAWETA : Hakuna kazi ya wanaume pekee

 Nikiwa katika mikoa ya Iringa, Mwanza na Mara katika ziara ndani ya hifadhi za Ruaha, Serengeti, Saanane kivutio kikubwa kilikuwa ni mpiga picha mwanamke pekee kwenye matukio hayo kutoka Kilimanjaro Inc Ltd ya Arusha, jinsi alivyokuwa akichukua matukio mbalimbali kwa mitindo iliyokuwa inavutia kila mtu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji

S1

Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.

Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku.   Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda.  Shenda ni moja kati ya vijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani