LEVINA TAWETA : Hakuna kazi ya wanaume pekee
 Nikiwa katika mikoa ya Iringa, Mwanza na Mara katika ziara ndani ya hifadhi za Ruaha, Serengeti, Saanane kivutio kikubwa kilikuwa ni mpiga picha mwanamke pekee kwenye matukio hayo kutoka Kilimanjaro Inc Ltd ya Arusha, jinsi alivyokuwa akichukua matukio mbalimbali kwa mitindo iliyokuwa inavutia kila mtu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Feb
Watakiwa kutoachia wanaume pekee nafasi ya uenyekiti
WANAWAKE wameshauriwa kujitokeza kuwania nafasi ya uenyekiti wa Bunge Maalumu badala ya kuachia fursa hiyo wanaume pekee.
9 years ago
Mwananchi16 Aug
MWAJUMA : Hakuna kazi mbaya duniani
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Wastara: Hakuna kazi rahisi duniani
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu...
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Wastara:Hakuna Kazi Rahisi Duniani
MWIGIZAJI I wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema wale wote wanaofikiri sanaa ya kuigiza ni kazi rahisi, wamekuwa wakijidanganya.
Akizungumzia kuhusu ugumu wa kazi yake ya kuigiza, Wastara alisema katika dunia hakuna kazi nyepesi kwa sababu kila utakachokifanya kitahitaji matumizi ya akili na kufikiri.
“Kwa haraka haraka unaweza kusema kazi ya kuigiza ni nyepesi, lakini si kweli, lazima kila mmoja afahamu duniani kila kazi ina ugumu wake,” alisema Wastara.
Wastara alisema ugumu ambao...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s72-c/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
HAKUNA SHULE, KAZI WALA NDEGE KURUKA NEW YORK ZAIDI YA NDEGE 6,000 CANCELS HADI JUMATANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s1600/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
inayoendelea kushuka kama imeagizwa vile yasababisha shule kufungwa hadi jumatano kazi na usafiri wa chini na anga stop kwa siku mbili.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNc69jlM8wk/VMbF8ziOywI/AAAAAAADWd8/kvLyN-IXUjY/s1600/2518459500000578-2926322-image-a-104_1422302014268.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDJH5i5rf3M/VMbGGPOVszI/AAAAAAADWeE/BwYpmR8MN00/s1600/251843A300000578-2926322-image-a-98_1422301949369.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFf0rQEGZeM/VMbGTLudDiI/AAAAAAADWeM/KiLoC6p-yaQ/s1600/25188AEA00000578-2926322-image-a-136_1422305873624.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Viongozi kujiuzulu pekee haitoshi
10 years ago
Mwananchi10 Oct
JK mweledi pekee mchakato wa Katiba