Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNIFU WA NYWELE ANAYEISHI NDANI YA NDEGE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
JO Ann mbunifu wa nywele amebadilisha ndege iliyotelekezwa katika moja ya karakana huko Greenwood kwa kutengeneza vyumba vitatu, sehemu ya kupumzika na jiko.
Ann aliibadilisha ndege hiyo ya abiria Boeing 727  na kuiita jina la Rais wa Marekani Donald Trump.
Makazi hayo yanapatikana huko Benoit, Mississippi karibu na uwanja wa ndege wa Greenwood.
 Imeelezwa kuwa Ann alianzisha makazi hayo mapya aliyoyaita "Nyumba bora ulimwenguni"  mara baada ya makazi yake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Ndani ya ‘Mama na Mwana’ Utasema Hakuna Binadamu Anayeishi Gizani Milele-Wastara

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amedokeza kuwa filamu ya Mama na Mwana imebeba ujumbe mzito wenye mfunzo ya namnagani tuishi.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, wastara ameeleza;

Mama na Mwana ni filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ina mafunzo na kuelemisha maana kila siku binaadam tunatakiwa kunifunza kupitia kitu fulan nasi tupo kwa ajili ya kuelekeza kuonya kumpa mtu moyo.

Ukiangalia hii movie utasema kuwa hakuna binaadamu anayeishi kizani milele one day one time basi hii...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege yatua mhudumu akilala ndani ya Shehena

Ndege ya abiria 170 yalazimika kutua mhudumu alipolaa ndani ya shehena ya mizigo

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

Global Publishers

KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher  Mukoma na kulia kwake ni Meneja usalama wa Kiwanja, Justine Kisusi walipokutana na wanahabari . Kaimu mkurug4e3nzi wa KADCO ,Bakari Murusuri akizung4umza na wanahabari (hawako pichani ) kuhusu matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika uwanja huo. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA) Eneo la ndani la uwanja wa ndege wa KIA.
Na Dixon...

 

9 years ago

Michuzi

KADCO YAOKOA ZAIDI YA BILIONI 2 UWANJA WA NDEGE WA KIA NDANI YA WIKI MOJA.

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher Mukoma na kulia kwake ni Meneja usalama wa Kiwanja, Justine Kisusi walipokutana na wanahabari . Kaimu mkurug4e3nzi wa KADCO ,Bakari Murusuri akizung4umza na wanahabari (hawako pichani ) kuhusu matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika uwanja huo. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Eneo la ndani la uwanja wa ndege wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzee anayeishi na Mamba Burundi

Kutana na mzee huyu anayefuga Mamba nyumbani kwake katika mtaa wa Gatumba mjini Bujumbura Burundi

 

11 years ago

Habarileo

Anayeishi chooni Hai ataka kujinufaisha

BAADA ya mvua kubwa na upepo mkali iliyosababisha maafa katika maeneo mengi ya wilaya ya Hai, hali hiyo imeanza kutumiwa ndivyo sivyo na baadhi ya wananchi wakitegemea kunufaika na misaada mbalimbali.

 

11 years ago

GPL

ANAYEISHI KWENYE HANDAKI BALAA JIPYA!

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa CHACHA Makenge (38) aliyeripotiwa awali kuishi ndani ya handaki katika eneo la pori la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani, amepatwa na balaa jipya baada ya makazi yake kuvamiwa na askari, kukamatwa na mwishowe kupelekwa Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili kwa ajili ya matibabu. Chacha Makenge (38) akiota moto nje ya handaki lake katika eneo la pori la Chuo Kikuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani