Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANAYEISHI KWENYE HANDAKI BALAA JIPYA!

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa CHACHA Makenge (38) aliyeripotiwa awali kuishi ndani ya handaki katika eneo la pori la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani, amepatwa na balaa jipya baada ya makazi yake kuvamiwa na askari, kukamatwa na mwishowe kupelekwa Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili kwa ajili ya matibabu. Chacha Makenge (38) akiota moto nje ya handaki lake katika eneo la pori la Chuo Kikuu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Trump katika handaki: Tunachojua kuhusu handaki la Whitehouse linalotumika kuwaficha marais wakati wa dharura

Maandamano na ghasia kufuatia kifo cha George Floyd yaliikaribia Ikulu ya Whitehouse.

 

11 years ago

GPL

AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE

Stori: Makongoro Oging’
DUNIA haiishi vituko! Chacha Makenge (36)  mzaliwa wa Kijiji cha Kisangula, Mtukula, Serengeti mkoani Mara anaishi jijini Dar lakini ndani ya handaki aliloligeuza chumba kwa miaka minne sasa, ni ajabu lakini ni kweli. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni nje ya handaki hilo lililopo mita chache kutoka majengo ya biashara ya Mlimani City, Makenge alisema alichukua uamuzi huo baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Aishi kwenye handaki kwa miaka minne

>Tunaposikia handaki, fikra zinatupeleka moja kwa moja kwenye vita kwani aghalabu, mahandaki hutumiwa na watu kujificha wakati wa vita.

 

11 years ago

GPL

SHABIKI WA CHELSEA ALIYEISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE JIJINI DAR

Chacha Makenge akikaribisha wageni.
Chacha akiongea na wageni wake Saleh Ally (kulia) na Makongoro Oging' (kushoto). • Yanga, Simba zamvutia lakini ashindwa kuchagua aipende ipi
• Asisitiza kama vipi, bora ziwe zinatoka sare kila mechi…

 

10 years ago

Vijimambo

MTANGAZAJI JERRY MURO AFUNGUKA MAKUBWA SASA KUZUA BALAA JIPYA

Baada ya kutoa documentary ya mgogoro wa ardhi Loliondo ikaleta utata, sasa kutoa ya pili. Na baada ya hapo atakuja na documentary ya kuonyesha jinsi biashara ya madawa inavyofanyika nchini, atakuja na yale majina aliyo nayo rais kikwete. Ameyasema hayo asubuhi alipokuwa katika kipindi cha asubuhi kinachorushwa live Clouds 360 clouds tv. Akiongea kwa jazba amesema haogopi yeyote na amejitoa mhanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi: Tusitarajie jipya kwenye bajeti

 Zikiwa zimesalia saa 24 kabla ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2014/15 kutangazwa bungeni mjini Dodoma, baadhi ya wachumi wamesema Watanzania wasitarajie chochote kipya katika bajeti hiyo.

 

10 years ago

GPL

MAYWEATHER AFANYA BALAA KWENYE ‘BETHDEI’ YA CHRIS BROWN

Floyd Mayweather akiwa kwenye bethidei ya Chris Brown.
NEW YORK, Marekani
NI jeuri ya mkwanja! Ndivyo bondia Floyd Mayweather alivyoanza makeke ya kutumia mkwanja wake baada ya hivi karibuni kufanya balaa la maana kwenye siku ya kuzaliwa ya mwimbaji, Chris Brown. Chris Brown akifungua 'shampeni'. Hili ni tukio la kwanza kufanywa na bondia huyo baada ya kutoka kumshushia kichapo mpinzani wake, Manny Pacquiao, Jumapili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani