Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RELP TV: HANDAKI NAMBA 1 NA 2 LAELEKEA UKINGONI KUKAMILIKA, UCHORONGAJI WAHAMIA HANDAKI NAMBA 3 NA 4.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Trump katika handaki: Tunachojua kuhusu handaki la Whitehouse linalotumika kuwaficha marais wakati wa dharura

Maandamano na ghasia kufuatia kifo cha George Floyd yaliikaribia Ikulu ya Whitehouse.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?

Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]

The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE

Stori: Makongoro Oging’
DUNIA haiishi vituko! Chacha Makenge (36)  mzaliwa wa Kijiji cha Kisangula, Mtukula, Serengeti mkoani Mara anaishi jijini Dar lakini ndani ya handaki aliloligeuza chumba kwa miaka minne sasa, ni ajabu lakini ni kweli. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni nje ya handaki hilo lililopo mita chache kutoka majengo ya biashara ya Mlimani City, Makenge alisema alichukua uamuzi huo baada ya...

 

11 years ago

GPL

ANAYEISHI KWENYE HANDAKI BALAA JIPYA!

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa CHACHA Makenge (38) aliyeripotiwa awali kuishi ndani ya handaki katika eneo la pori la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani, amepatwa na balaa jipya baada ya makazi yake kuvamiwa na askari, kukamatwa na mwishowe kupelekwa Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili kwa ajili ya matibabu. Chacha Makenge (38) akiota moto nje ya handaki lake katika eneo la pori la Chuo Kikuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Aishi kwenye handaki kwa miaka minne

>Tunaposikia handaki, fikra zinatupeleka moja kwa moja kwenye vita kwani aghalabu, mahandaki hutumiwa na watu kujificha wakati wa vita.

 

11 years ago

GPL

SHABIKI WA CHELSEA ALIYEISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE JIJINI DAR

Chacha Makenge akikaribisha wageni.
Chacha akiongea na wageni wake Saleh Ally (kulia) na Makongoro Oging' (kushoto). • Yanga, Simba zamvutia lakini ashindwa kuchagua aipende ipi
• Asisitiza kama vipi, bora ziwe zinatoka sare kila mechi…

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP AFICHWA KATIKA HANDAKI KUHOFIA MAANDAMANO YA KIFO CHA MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD.

Usalama umeimarishwa katika Ikulu ya Whitehouse katika siku za hivi karibuniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionUsalama umeimarishwa katika Ikulu ya Whitehouse katika siku za hivi karibuniMaandamano na ghasia kufuatia kifo cha George Floyd yaliikaribia Ikulu ya Whitehouse.Tangu wiki iliopita, makao makuu ya ofisi hiyo na makaazi ya rais wa Marekani yalikuwa kitovu cha maandamano makubwa zaidi kufanyika nchini humo tangu yale yaliofanyika baada ya mauaji ya Martin Luther King 1968.Kifo cha Floyd baada ya afisa wa polisi kumwekea goti katika shingo yake kwa zaidi...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Hazard si namba 10 wa Chelsea’

Jose Mourinho amemwambia Eden Hazard yeye si mchezaji wa kucheza namba 10 katika kikosi cha Chelsea.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Wameisoma namba

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayewakilisha vyama vinavyounda Ukawa, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsindikiza wakati akienda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu ni salamu kwa CCM na ‘wameisoma namba’ kwamba Watanzania wanataka mabadiliko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani