Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msafara wa mamba, kenge hawakosi

Katika kipindi cha hivi karibuni muziki wa Hip Hop hapa nchini umeendelea kufanya poa sokoni, kutokana na kasi kubwa ya mizuka inayojidhihirisha kwa mashabiki hao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NINAPODADAVUA :Kobe, kasa, mijusi wote wamo katika msafara wa mamba

Leo nataka kukumbusha kidonda: Kadhia ya Dk Willibrod Slaa na kujiuzulu nafasi ya Katibu Mkuu, Chadema. Ni jambo ambalo wengi wanaliona kuwa lishapita, kweli limepita, lakini kutafakari mambo yapitayo kwa kina ni muhimu kwa sababu ndani yake huwa tunapata mafunzo.

 

10 years ago

Vijimambo

Anaswa Airport na kenge hai 149

Alikuwa akiwapeleka KuwaitMaofisa wa Wanyamapori wakishirikiana na polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wakipekua sanduku lililobeba kenge ambalo lilikamatwa kwa mmoja wa abiria jijini Dar es Salaam jana.
Raia wa Kuwait, Hussain Ahmed Ally Mansour (34), amekamatwa na maofisa usalama na Jeshi la Polisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa tuhuma za kutaka kusafirisha kenge hai 149 wenye thamani ya Sh. milioni 6.33 kwenda nchini...

 

10 years ago

Mtanzania

Raia wa Kuwait akamatwa na kenge 149

monitor_lizard_by_geistis-d4nigw7Na Hadia Khamis, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia raia wa Kuwait, Hussein Mansour (34), baada ya kukamatwa Uwanja wa Ndenge wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) usiku wa kuamkia jana akijaribu kusafirisha kenge hai 149.
Kenge hao wana thamani ya Sh milioni 6.3.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Viwanja vya Ndege Tanzania, Kamishina Msaidizi, Hamis Seleman, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akijiandaa kusafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la...

 

10 years ago

Mwananchi

Kenge 140 wanaswa JNIA wakitoroshwa nje ya nchi

  Jeshi la Polisi la   Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)linamshikilia raia wa Kuwait kwa tuhuma za kukutwa na viumbe hai aina ya Kenge 149 wenye thamani ya Sh 6.3 milioni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mamba ala mwanafunzi

MWANAFUNZI wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ugalla, Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi,  Yohana Ramadhani (14), ameliwa na Mamba wakati akioga na wenzake katika mto Ugalla. Kwa mujibu wa Diwani...

 

11 years ago

Mwananchi

Jasiri wa kulishana na mamba

Jamaa mmoja huko Afrika Kusini alishangaza watalii aliokuwa anawatembeza kwenye hifadhi ya wanyama baada ya kuonyesha umahiri wake katika kucheza na mamba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa

SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge msilie machozi ya Mamba

KITENDO  cha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuamua kusimama kidete na kuonyesha ushupavu na nguvu za kuikalia kooni serikali kuhusu kashfa ya Escrow kusifanane na machozi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamba waleta maafa DRC

Wakaazi wa Kijiji cha Mboko mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo wanakabiliwa na tatizo la mamba anayesumbua usalama wao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani