Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NINAPODADAVUA :Kobe, kasa, mijusi wote wamo katika msafara wa mamba

Leo nataka kukumbusha kidonda: Kadhia ya Dk Willibrod Slaa na kujiuzulu nafasi ya Katibu Mkuu, Chadema. Ni jambo ambalo wengi wanaliona kuwa lishapita, kweli limepita, lakini kutafakari mambo yapitayo kwa kina ni muhimu kwa sababu ndani yake huwa tunapata mafunzo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Msafara wa mamba, kenge hawakosi

Katika kipindi cha hivi karibuni muziki wa Hip Hop hapa nchini umeendelea kufanya poa sokoni, kutokana na kasi kubwa ya mizuka inayojidhihirisha kwa mashabiki hao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Kobe Bryant katika picha

Simulizi ya maisha ya aliyekuwa mchezaji nguli wa kikapu nchini Marekani katika picha, Kobe Bryant ambaye alifariki akiwa na miaka 41.

 

9 years ago

Vijimambo

WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA WAMO RAIA WA ETHIOPIA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
     Na Jamiimojablog.       Watu watano wamefariki dunia   Mkoani Mbeya katika matukio matatu tofauti likiwemo la ajali ya haice iliyosababisha vifo vya watu wanne mkoani hapa.                Katika tukio la kwanza gari  lenye namba za usajili  T.519 AKH aina ya Toyota Haice ikiendeshwa na dereva  asiyefahamika kugongana na pikipiki yenye namba za usajili  T.535 AWC aina Ya T-Better eneo la Nanenane Jijini Mbeya.      Ajali hiyo imetokea Septemba...

 

9 years ago

Michuzi

NYOTA WA BONGO MOVIE KATIKA MSAFARA WA KAMPENI WA CCM

 Baadhi ya nyota wa Bongo Movie wakiwa katika basi lao kwenye msafar wa kampeni za mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli. Wasanii hawa na wengine wengi wa kiume na fani ya muziki wanamunga mkono mgombea wa CCM 

 

10 years ago

Habarileo

Uvuvi wa kasa wapigwa marufuku

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdilahi Jihadi HassanSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema ni marufuku kwa wavuvi kuvua samaki aina ya kasa katika eneo la bahari ya Zanzibar ambapo viumbe hao wapo katika hatari ya kutoweka duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

NINAPODADAVUA: Haya ni marejeo ya historia, hakuna litakalozidi wala kupungua

Katika si-hasa (siasa) hakuna cha kustaajabisha. Kuingia chamani au kutoka ni jambo la kawaida. Katika yote hayo kinachojadiliwa zaidi ni sababu za kutoka, kuliko kuingia.

 

11 years ago

GPL

MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA KALENGA AZUIWA NA POLISI MKOANI IRINGA

Polisi mkoani Iringa wakiwa  wamezuia msafara  wa mgombea    ubunge jimbo la Kalenga,  Bi Grace Tendega kupitia Chadema kwa madai  hawakuwa na kibali cha kufanya  maandamano  hayo ya magari  hapa  ni eneo la lango la mji Samora ambapo msafara huo  ulikuwa ukitokea maeneo la Ndiuka kuelekea kwa msimamizi wa uchaguzi  ili kuchukua fomu. Mgombea  ubunge wa  Chadema Kalenga, Grace...

 

9 years ago

Dewji Blog

Vijana wengi wapata mafunzo juu ya maisha na kujiajili katika Kongamano la Msafara lililofanyika UDSM

Aliyekuwa nahodha wa timu ya Taifa ya wanawake 2002-2003 na kuchezea mpira timu hiyo kwa Miaka 15 mpaka anastaafu mwaka huu Esther Chabruma akielezea namna mchezo wa Mpira wa Miguu ilivyoweza msaidia mpaka hapa alipofikia na kuwasihi vijana wasikate tamaa maana kila jambo lina wakati wake jana tarehe 4.12.2015.

Msanii wa sanaa za Maonesho Vanensia Shule, ambaye pia ni Mkufunzi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam upande wa sanaa na Filamu akielezea jinsi Sanaa inavyoweza kumkomboa kijana na...

 

11 years ago

GPL

KUTANA NA KASA ALIYEITABIRIA BRAZIL KUIFUNGA CROATIA KESHO

Kasa aitwaye Big Head akitabiri mechi ya kesho ya ufunguzi kati ya Brazil na Croatia. BAADA ya pweza Paul aliyekuwa akiishi Ujerumani kujizolea umaarufu wakati wa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, fainali za mwaka huu nchini Brazil ameibuka mtabiri mwingine aitwaye Cabeção au Big Head. Big Head ambaye ni kasa mwenye umri wa miaka 25, anayeishi katika kijiji cha Praia Do Forte nchini Brazil...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani