WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA WAMO RAIA WA ETHIOPIA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Jamiimojablog. Watu watano wamefariki dunia Mkoani Mbeya katika matukio matatu tofauti likiwemo la ajali ya haice iliyosababisha vifo vya watu wanne mkoani hapa. Katika tukio la kwanza gari lenye namba za usajili T.519 AKH aina ya Toyota Haice ikiendeshwa na dereva asiyefahamika kugongana na pikipiki yenye namba za usajili T.535 AWC aina Ya T-Better eneo la Nanenane Jijini Mbeya. Ajali hiyo imetokea Septemba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Watatu wafariki dunia katika matukio tofauti mkoani Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida, wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mkulima moja kupigwa vibaya na askari mgambo akituhumiwa kuvunja mlango wa ofisi ya afisa mtendaji wa kijiji.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela alisema katika tukio la kwanza,mkulima mkazi wa kijiji cha Milade tarafa ya Kinyangiri wilaya ya Mkalama,Salum Abrahamani (42) amefariki dunia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNbkb14VxzE/VP3aGCjTqsI/AAAAAAAHJKU/qapesK8GZy8/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Watu matatu wafariki dunia Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNbkb14VxzE/VP3aGCjTqsI/AAAAAAAHJKU/qapesK8GZy8/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 08/03/2015 Majira ya saa 11:00hrs huko katika kijiji cha Mundemu Kata ya Mundemu Wilaya ya Bahi Mkoa wa Dodoma mtu aliyefahamika kwa jina la LEGANGA KAZIMOTO, Mwenye miaka 40, Mkulima na Mkazi wa kijiji cha Mbalawala Manispaa ya Dodoma aliuwawa kwa kupigwa na kitu kizito sehemu mbali mbali za mwili wake na...
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU Wanne mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti,likiwemo la wanandoa wawili kuuawa na kisha nyumba yao kuchomwa moto na wao kuteketea pamoja na mali zao.
Wanandoa hao ni Ramadhani Lyanga (80) na mke wake Aziza Ally (60) wakazi wa kitongoji cha Kizega kijiji cha New Kiomboi tarafa ya Kisiriri wilaya ya Iramba.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti Dar
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti Singida
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU wanne mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti,likiwemo la mwanafunzi wa kidato cha kwanza sekondari ya Eldersgate Manyara kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila.
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela,alisema kuwa mwanafunzi huyo Uswile Lazaro (15) mkazi wa kijiji cha Ulemo tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba,amejinyinga juzi jioni huko katika kijiji cha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s72-c/unnamed+(61).jpg)
ASKARI POLISI WATANO MKOANI DODOMA WAFARIKI DUNIA PAPOHAPO KATIKA AJALI YA GARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s1600/unnamed+(61).jpg)
Askari polisi watano mkoani dodoma wafariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Mtumba Center, Kata ya Mtumba Tarafa ya Kikombo Manispaa ya Dodoma, ambapo gari namba T.770 ABT Toyota Corolla lililokuwa likiendeshwa na Askari namba H. 3783 PC DEOGRATIUS wa Polisi Wilaya ya Kongwa likitokea Dodoma mjini likielekea Wilayani Kongwa liligongana uso kwa uso...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Watu watatu wafariki dunia matukio tofauti Iringa
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Watano wafa katika matukio tofauti Singida
Kamanda wa polisi Mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Mwandishi wetu, Singida
Watu watano wakiwemo watatu wa familia moja,wameuawa katika matukio tofauti,likiwemo la wanafamilia hao kukatwa katwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miiili yao na watu wasiofahamika.
Tukio hilo la mauaji lililowahusisha wanandoa hao lilitokea siku tano baada ya kuuawa kikatili kwa wanandoa wengine wawili,Bwana Ramadhan Lyanga (80) na Bi Aziza Ali (62) wakazi wa wilayani Iramba.
Akielezea matukio hayo,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Raia wa Ethiopia afariki dunia mkoani Pwani
![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
RAIA wa nchi ya Ethiopia Dawita Alalo (25) amekufa alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye kituo cha afya cha Chalinze kata ya Bwiringu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Marehemu alikuwa ni kati ya raia 48 wa nchi hiyo walikamatwa wakiwa kwenye msitu wa kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya Chalinze Agosti 22 mwaka huu, baada ya kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kaimu kamanda wa polisi mkoani humo Mrakibu...