Raia wa Kuwait akamatwa na kenge 149
Na Hadia Khamis, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia raia wa Kuwait, Hussein Mansour (34), baada ya kukamatwa Uwanja wa Ndenge wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) usiku wa kuamkia jana akijaribu kusafirisha kenge hai 149.
Kenge hao wana thamani ya Sh milioni 6.3.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Viwanja vya Ndege Tanzania, Kamishina Msaidizi, Hamis Seleman, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akijiandaa kusafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
RAIA WA KUWAIT AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KOBE 173

10 years ago
Vijimambo09 Jan
Anaswa Airport na kenge hai 149

Raia wa Kuwait, Hussain Ahmed Ally Mansour (34), amekamatwa na maofisa usalama na Jeshi la Polisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa tuhuma za kutaka kusafirisha kenge hai 149 wenye thamani ya Sh. milioni 6.33 kwenda nchini...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Askari aliyemjeruhi raia kwa risasi akamatwa
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI MEMBE AKUTANA NA VIONGOZI WA KUWAIT FUND, KUWAIT CITY



11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.
Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Msafara wa mamba, kenge hawakosi
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kenge 140 wanaswa JNIA wakitoroshwa nje ya nchi
11 years ago
Daily News27 May
149 'Panya Road' gangsters held
Daily News
Daily News
POLICE in Dar es Salaam have arrested 149 youths who are suspected to be involved in the gang commonly known as 'Panya Road.' The arrests follow a special operation conducted in separate areas in the city from Saturday until early Monday morning.
10 years ago
TheCitizen19 Oct
149 EU election observers expected at polling stations