Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenge 140 wanaswa JNIA wakitoroshwa nje ya nchi

  Jeshi la Polisi la   Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)linamshikilia raia wa Kuwait kwa tuhuma za kukutwa na viumbe hai aina ya Kenge 149 wenye thamani ya Sh 6.3 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wateja B-Pesa kufanya miamala zaidi ya nchi 140

Kampuni ya Smart Banking Solutions kupitia kadi yake ya B-Pesa imesaini mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya malipo ya China maarufu UnionPay.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walio nje ya nchi waonyeshe kwa vitendo watasaidia vipi nchi

TUMESHAZOEA maneno ya wanasiasa wanapopiga kampeni za kutafuta kuchaguliwa na wananchi. Wengi wao wanakuja na ahadi kemkem kama njia ya kutaka kuwavutia watu kuwa wao ndio wanafaa katika nafasi hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar

Mheshimiwa Dk. Binilith Mahenge Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira ametoa rai kwa Wananchi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla kuweka juhudi katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya Tabia Nchi.
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira Mh. Dk. Eng. Binilith Satano Mahenge, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Tarehe 29 Agosti 2014.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Msafara wa mamba, kenge hawakosi

Katika kipindi cha hivi karibuni muziki wa Hip Hop hapa nchini umeendelea kufanya poa sokoni, kutokana na kasi kubwa ya mizuka inayojidhihirisha kwa mashabiki hao.

 

10 years ago

GPL

Kiongera kutibiwa nje ya nchi

Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
DAKTARI maarufu wa michezo nchini ambaye hakutaka kutajwa jina lake amesema kuna uwezekano mkubwa Simba ikalazimika kumpandisha ndege mshambuliaji wake Paul Kiongera akatibiwe. Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera. Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji. “Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila...

 

10 years ago

Vijimambo

Anaswa Airport na kenge hai 149

Alikuwa akiwapeleka KuwaitMaofisa wa Wanyamapori wakishirikiana na polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wakipekua sanduku lililobeba kenge ambalo lilikamatwa kwa mmoja wa abiria jijini Dar es Salaam jana.
Raia wa Kuwait, Hussain Ahmed Ally Mansour (34), amekamatwa na maofisa usalama na Jeshi la Polisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa tuhuma za kutaka kusafirisha kenge hai 149 wenye thamani ya Sh. milioni 6.33 kwenda nchini...

 

10 years ago

Mtanzania

Raia wa Kuwait akamatwa na kenge 149

monitor_lizard_by_geistis-d4nigw7Na Hadia Khamis, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia raia wa Kuwait, Hussein Mansour (34), baada ya kukamatwa Uwanja wa Ndenge wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) usiku wa kuamkia jana akijaribu kusafirisha kenge hai 149.
Kenge hao wana thamani ya Sh milioni 6.3.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Viwanja vya Ndege Tanzania, Kamishina Msaidizi, Hamis Seleman, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akijiandaa kusafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la...

 

10 years ago

Habarileo

Waishio nje ya nchi kutopiga kura

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo wakati wa ziara yake juzi. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya kufikiwa kwa hatua hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani