Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jasiri wa kulishana na mamba

Jamaa mmoja huko Afrika Kusini alishangaza watalii aliokuwa anawatembeza kwenye hifadhi ya wanyama baada ya kuonyesha umahiri wake katika kucheza na mamba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Heri masikini jasiri kuliko tajiri mwoga

USWAHIBA walionao watendaji wa serikali na wafanyabiashara wakubwa (matajiri) hapa nchini kinaweza kuwa kigezo kikubwa cha kudumaza maendeleo ya nchi na kukosa uwiano wa mapato kati ya walionacho na wale wasiokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali, Mama jasiri, mwenye uthubutu wa kipekee

Grace Mahumbuka ni mjasiriamali ambaye sasa amekuwa Balozi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi na Jinsia(Ekama), baada ya kuwa mshindi wa kwanza na pekee wa Tuzo za Asasi za kiraia.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunataka Rais jasiri atakayefufua kashfa za ufisadi huu

RUSHWA na ufisadi ni mambo ambayo yametangaziwa vita na kila awamu ya serikali inayoingia madarak

Joseph Mihangwa

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kweli Kinana shujaa, jasiri anayetoboa siri ya CCM

>Kama tulivyoona wiki iliyopita, siasa zimeendelea kuwa za mazoea katika nchi yetu, lakini zina madhara. Ni yapi hayo, endelea…

 

5 years ago

Michuzi

MNEC MWAKITINYA, TAASISI YA JASIRI ASILI WAWAPA ELIMU YA KUJITAMBUA WANAFUNZI SEKONDARI YA IHUMWA

MNEC MWAKITINYA, TAASISI YA JASIRI ASILI WAWAPA ELIMU YA KUJITAMBUA WANAFUNZI SEKONDARI YA IHUMWA
Charles James, Michuzi TVWANAFUNZI nchini wametakiwa kuepuka vishawishi vya kimahusiano na vyenye kuwapeleka kwenye utumiaji wa dawa za kulevya ili kuweza kutimiza ndoto zao.
Kauli hiyo imetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MNEC Mussa Mwakitinya wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ihumwa jijini Dodoma leo.
Mwakitinya ambaye ameambatana na Taasisi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mamba ala mwanafunzi

MWANAFUNZI wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ugalla, Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi,  Yohana Ramadhani (14), ameliwa na Mamba wakati akioga na wenzake katika mto Ugalla. Kwa mujibu wa Diwani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa

SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...

 

10 years ago

GPL

MADENTI WALIWA MIGUU NA MAMBA

Stori: Igenga Mtatiro, TARIME
WANAFUNZI wawili wa shule za msingi za Nyabisara (Murito) na Kerende Kata ya Kemambo wilayani Tarime, Mara wameumwa hadi kuondolewa nyama zao za miguu na mamba walipokwenda kuoga maji ya mto kwa nyakatitofauti. Penina Joseph Mangure akiwa na jeraha mguuni alilojeruhiwa na Mamba. Wanafunzi hao ni Penina Joseph Mangure  (11) wa darasa la nne Shule ya… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge msilie machozi ya Mamba

KITENDO  cha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuamua kusimama kidete na kuonyesha ushupavu na nguvu za kuikalia kooni serikali kuhusu kashfa ya Escrow kusifanane na machozi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani