MNEC MWAKITINYA, TAASISI YA JASIRI ASILI WAWAPA ELIMU YA KUJITAMBUA WANAFUNZI SEKONDARI YA IHUMWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b423c46A3nM/XmykwgXkINI/AAAAAAALjMs/cBDG6vPRgsQJc9WId8WW267cn3DuS1O3ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-13%2Bat%2B8.08.12%2BPM.jpeg)
MNEC MWAKITINYA, TAASISI YA JASIRI ASILI WAWAPA ELIMU YA KUJITAMBUA WANAFUNZI SEKONDARI YA IHUMWA
Charles James, Michuzi TVWANAFUNZI nchini wametakiwa kuepuka vishawishi vya kimahusiano na vyenye kuwapeleka kwenye utumiaji wa dawa za kulevya ili kuweza kutimiza ndoto zao.
Kauli hiyo imetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MNEC Mussa Mwakitinya wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ihumwa jijini Dodoma leo.
Mwakitinya ambaye ameambatana na Taasisi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-sUWNTDqPTYs/VGh8Lhd52QI/AAAAAAAANDw/tPAXO0ul1bI/s72-c/mkapa%2B2.jpg)
MAHAFALI YA KWANZA KIDATO CHA NNE SEKONDARI YA MT. PETER KLEVA IHUMWA, DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sUWNTDqPTYs/VGh8Lhd52QI/AAAAAAAANDw/tPAXO0ul1bI/s640/mkapa%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NcScYGm5zB0/VGh8M7CDlzI/AAAAAAAAND4/mwOZyCJtW7w/s1600/mkapa%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04fbZ0-S2PA/XkhHo-Ls2AI/AAAAAAALdiA/IVFY1Xm1NOo44phvfcJ42Er9lwRgD5lkQCLcBGAsYHQ/s72-c/8cfa2e7c-076b-41d4-b5df-fe242873b892.jpg)
WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI KITEFU WILAYANI ARUMERU WAPEWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI
Na Jusline Marco-Arusha
Zaidi ya wanafunzi 200 walio katika shule ya sekondari Kitefu Wilayani Arumeru wamepatiwa elimu ya afya ya uzazi itakayo wasaidie kuepuka mimba za utotoni na kuwezesha kufikia malengo yao kielimu.
Elimu hiyo ambayo imetolewa na shirika la Center for women and Girls Empowerment kutoka Mkoani Arusha ni kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanaopata mimba za utotoni kutokana kutopata elimu ambayo itamuwezesha kujikinga na mimba za utotoni.
Akizungumza katika...
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari
Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.
Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.
Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f-rrw06VwGY/XntjW9AtcvI/AAAAAAALlAc/ITmSc2hIno4lK08iSUxlbSxUtcgpoxyIACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-25%2Bat%2B12.38.45%2BPM.jpeg)
Taasisi ya Shulesoft yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao, wanafunzi kusoma wakiwa nyumbani bila gharama
![](https://1.bp.blogspot.com/-f-rrw06VwGY/XntjW9AtcvI/AAAAAAALlAc/ITmSc2hIno4lK08iSUxlbSxUtcgpoxyIACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-25%2Bat%2B12.38.45%2BPM.jpeg)
Na Avila Kakingo, globu ya jamiiTAASISI isiyo ya kiserikali ya Shulesoft hapa nchini yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao ili...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Wanafunzi wa kike watakiwa kujitambua
WANAFUNZI wa kike nchini wametakiwa kujitambua pindi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao shuleni kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kufikia malengo ya kielimu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s72-c/IMG-20151217-WA0033.jpg)
UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s640/IMG-20151217-WA0033.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B99AiZiI5Zw/VnOI1_L0E3I/AAAAAAABluk/tIlyS_lXpYo/s640/IMG-20151217-WA0031.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0stAYn98xlw/VnOJfkKsdeI/AAAAAAABlu0/fPNPbwMbK2Y/s640/IMG-20151217-WA0026.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...