Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milipuko yatokea jeshini Sudan

Kumetokea milipuko katika maeno ya jeshi nje ya mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi

Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko 2 yatokea mjini Jos, Nigeria

Milipuko hiyo imetokea katika soko lenye shughuli nyingi na ambalo lilikuwa na idadi kubwa ya watu eneo la Kati mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makabiliano yazuka jeshini Sudan Kusini

Milio ya risasi imesikika usiku kucha katika kile kinachosemekana na makabiliano kati ya walinzi wa Rais Salva Kiir mjini Juba

 

10 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA JESHINI YAMLIZA JB

Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea kusimulia historia ya maisha yake tangu utotoni hadi sasa. Ni simulizi ndefu na tamu isiyochosha kwa vimbwanga na kila aina ya mikasa ya kusisimua na kustaajabisha. Uhondo huu una takriban wiki tatu sasa, na amefikia kwenye kipengele cha maisha yake jeshini ambapo alieleza sulubu ya mikikimikiki ya jeshini huku akikiri kwamba jeshi...

 

10 years ago

GPL

Yanga Yajichimbia Jeshini Dar

Waandishi Wetu, Dar es Salaam WAKIJIANDAA na michuano ya Kombe la Kagame, Yanga wameamua kufanya mazoezi yao kwa kificho kikubwa kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi, Kurasini jijini Dar es Salaam. Uwanja huo wanaoutumia Yanga kufanya maandalizi hayo, unamilikiwa na Jeshi la Polisi ambao umekuwa ukitumiwa na  timu za majeshi zinazojiandaa na michuano mbalimbali. Timu hiyo, ilianza kufanya mazoezi yake kwa mara ya kwanza jana...

 

11 years ago

BBCSwahili

US kuzuia dhuluma za ngono jeshini

Baraza la Senate la Marekani limeidhinisha kwa kauli moja mageuzi ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuhusiana na unyanyasaji wa kimapenzi katika jeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukatili wa kijinsia jeshini ukomeshwe

Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema wizara yake imepiga hatua katika kukomesha ukatili wa kijinsia jeshini.

 

9 years ago

BBCSwahili

HRW:Wanafunzi wanasajiliwa jeshini DRC

Kundi la kutetea haki za kibinadamu Human Rights Watch linasema kuwa limepata ushahidi kuwa shule zinatumika kuwasili wanafunzi jeshini

 

9 years ago

BBCSwahili

Dawa ya Lariam haifai kutumiwa jeshini

Wito umetolewa wa kutaka kusitisha matumizi ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa malaria katika jeshi la Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani