Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makabiliano yazuka jeshini Sudan Kusini

Milio ya risasi imesikika usiku kucha katika kile kinachosemekana na makabiliano kati ya walinzi wa Rais Salva Kiir mjini Juba

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya Sudan Kusini

Makubalino ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa Ijumaa kuhusu Sudan Kusini, yavunjwa kama yale ya mwezi Januari

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini

Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita

 

9 years ago

BBCSwahili

Makabiliano yazuka msikitini Jerusalem

Ghasia zimezuka al-Aqsa, polisi wa Israel walipoingia eneo la msikiti huo saa chache kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa Kiyahudi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makabiliano makali yazuka West Bank

Kumetokea mashambulizi kadhaa yanayotekelezwa na Wapalestina dhidi ya Waisraeli katika eneo linalozozaniwa la West Bank.

 

10 years ago

BBCSwahili

Milipuko yatokea jeshini Sudan

Kumetokea milipuko katika maeno ya jeshi nje ya mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani