Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makabiliano yazuka msikitini Jerusalem

Ghasia zimezuka al-Aqsa, polisi wa Israel walipoingia eneo la msikiti huo saa chache kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa Kiyahudi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makabiliano yazuka jeshini Sudan Kusini

Milio ya risasi imesikika usiku kucha katika kile kinachosemekana na makabiliano kati ya walinzi wa Rais Salva Kiir mjini Juba

 

9 years ago

BBCSwahili

Makabiliano makali yazuka West Bank

Kumetokea mashambulizi kadhaa yanayotekelezwa na Wapalestina dhidi ya Waisraeli katika eneo linalozozaniwa la West Bank.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makabiliano Hotelini Somalia yamalizika

Serikali ya Somalia imesema mapigano yaliokuwa kwenye hoteli moja mjini Mogadishu kufuatia uvamizi wa Al shabaab yamemalizika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq:Makabiliano yapamba moto Ramadi

Vikosi vinavyoitii serikali ya Iraq vimelishambulia kundi la wapiganaji la Islamic State katika eneo la Ramadi kwa mara ya kwanza tangu mji huo utekwe wiki moja iliopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Makabiliano kati ya Iran na Marekani yazua hofu ya kuzuka kwa vita Ghuba

Sababu ya moja kwa moja ya rais Trump kutoa tishio hilo inatokana na matukio ya wiki moja iliopita

 

9 years ago

BBCSwahili

Jerusalem wakumbwa na machafuko

Leo ni siku ya pili ya makailiano katika eneo la al-Aqsa mjini Jerusalem, kati ya polisi wa Israeli na vijana wa Kipalestina

 

10 years ago

BBCSwahili

Waumini washambuliwa Jerusalem

Takriban waisreli wanne wameuawa na wnegine 8 kujeruhiwa katika kile polisi wanasema ni shambulio la kigaidi dhidi ya Sinagogi eneo la magharibi ya Jerusalem.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka Msumbiji

Mapigano mapya kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa chama cha upinzani cha Renamo yameripotiwa nchini Msumbiji.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka Palestina

Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani