Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano yazuka Msumbiji

Mapigano mapya kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa chama cha upinzani cha Renamo yameripotiwa nchini Msumbiji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya C.A.R

Mapigano yamezuka katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Bangui kati ya wanaounga mkono na wanaopinga kura ya maoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya Missouri

Machafuko yazuka upya Ferguson licha ya rais Obama kusihi utulivu urejee

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya Sudan Kusini

Makubalino ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa Ijumaa kuhusu Sudan Kusini, yavunjwa kama yale ya mwezi Januari

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini

Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka Palestina

Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makabiliano yazuka msikitini Jerusalem

Ghasia zimezuka al-Aqsa, polisi wa Israel walipoingia eneo la msikiti huo saa chache kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa Kiyahudi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapambano yazuka upya Burkina Faso

Mapambano yamezuka kwenye hoteli katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou, ambako mazungumzo ya amani yamekuwa yakifanyika, baada ya mapinduzi ya juma lilopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya kutisha yazuka tena Geita

MAUAJI ya kikatili yameibuka tena mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kuvamia maeneo matatu usiku wa Aprili 27 na kuwaua kwa kuwachinja na kutenganisha viungo vyao watu watatu kwa imani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani