Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano yazuka upya C.A.R

Mapigano yamezuka katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Bangui kati ya wanaounga mkono na wanaopinga kura ya maoni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya Missouri

Machafuko yazuka upya Ferguson licha ya rais Obama kusihi utulivu urejee

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya Sudan Kusini

Makubalino ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa Ijumaa kuhusu Sudan Kusini, yavunjwa kama yale ya mwezi Januari

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka Msumbiji

Mapigano mapya kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa chama cha upinzani cha Renamo yameripotiwa nchini Msumbiji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini

Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapambano yazuka upya Burkina Faso

Mapambano yamezuka kwenye hoteli katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou, ambako mazungumzo ya amani yamekuwa yakifanyika, baada ya mapinduzi ya juma lilopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka Palestina

Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makabiliano yazuka msikitini Jerusalem

Ghasia zimezuka al-Aqsa, polisi wa Israel walipoingia eneo la msikiti huo saa chache kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa Kiyahudi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya kutisha yazuka tena Geita

MAUAJI ya kikatili yameibuka tena mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kuvamia maeneo matatu usiku wa Aprili 27 na kuwaua kwa kuwachinja na kutenganisha viungo vyao watu watatu kwa imani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi

Kumezuka ghasia katika mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji wanaoishtumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani