Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano na milipuko yatikisa Congo Brazzaville

Milipuko imesikika katika mji mkuu wa Congo, Brazzaville, kufuatia maandamano makubwa yaliyoitishwa kupinga rais Sassou Nguesso kuwania muhula wa tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Intaneti zafungwa Congo Brazzaville

Serikali ya Congo Brazzaville imesitisha huduma za mtandao na kufunga mawimbi ya redio ya Kimataifa ya Ufaransa (RFI) nchini humo.

 

9 years ago

Mtanzania

LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville

Claude-Leroy-talks141015BBP720BRAZZAVILLE, CONGO

KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.

Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville

Wapiga kura nchini Congo-Brazzaville wameidhinisha marekebisho ya katiba yanayomruhusu rais wa sasa kuwania kwa muhula wa tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatikisa Mugadishu

Magari mawili yamelipuka nje ya hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuwaua watu 10

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko yatikisa mji wa Cairo, Misri

Mabomu mawili madogo yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo na kuwajeruhi maafisa sita wa polisi

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yaanza vibaya Brazzaville

Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania imekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa shindano ya Afrika ‘All Africa Games’ yanayoendelea mjini Brazzaville, Congo .

 

9 years ago

Vijimambo

Twiga Stars uwanjani Kongo Brazzaville leo

Timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajia kutupa karata yake ya kwanza leo katika Michezo ya Afrika kwa kuwakabili Ivory Coast kwenye Uwanja wa Del Debate nchini Kongo Brazzaville.

Akizungumza na Nipashe kwa njia ya simu kutoka Kongo Brazzaville, Mkuu wa Msafara wa timu hiyo, Blassy Kiondo, alisema kuwa wachezaji walifanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo huo jana asubuhi na wote wanaendelea vizuri.

Kiondo alisema kuwa mchezo huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 11 jioni...

 

9 years ago

TheCitizen

Twiga Stars, swimmers off to Brazzaville for Africa Games

The second batch of Team Tanzania for the All Africa Games departs for Congo-Brazzaville today.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani