Intaneti zafungwa Congo Brazzaville
Serikali ya Congo Brazzaville imesitisha huduma za mtandao na kufunga mawimbi ya redio ya Kimataifa ya Ufaransa (RFI) nchini humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Nov
LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville
BRAZZAVILLE, CONGO
KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.
LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.
Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Maandamano na milipuko yatikisa Congo Brazzaville
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Twiga Stars yaanza vibaya Brazzaville
9 years ago
TheCitizen01 Sep
Twiga Stars, swimmers off to Brazzaville for Africa Games
9 years ago
VijimamboTwiga Stars uwanjani Kongo Brazzaville leo
Akizungumza na Nipashe kwa njia ya simu kutoka Kongo Brazzaville, Mkuu wa Msafara wa timu hiyo, Blassy Kiondo, alisema kuwa wachezaji walifanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo huo jana asubuhi na wote wanaendelea vizuri.
Kiondo alisema kuwa mchezo huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 11 jioni...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Garissa:Redio 2 zafungwa Somalia.
10 years ago
Habarileo09 Sep
Mashine za kisasa za ebola zafungwa
KATIKA jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia usafiri wa anga, zimewasili nchini na tayari zimefungwa katika viwanja vikubwa vya ndege.