Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Garissa:Redio 2 zafungwa Somalia.

Somalia imevifunga vituo 2 vya redio baada ya kutangaza habari za wapiganaji wa Al-shabaab kuhusu shambulio la Garissa kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa

DSC_0088

Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kampuni 70 za mawakala zafungwa Tanzania

Serikali ya Tanzania imezifunga kampuni 70 za mawakala katika jaribio la kukabiliana na ulanguzi wa binaadamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool, Chelsea zafungwa nyumbani

Liverpool na Chelsea zimeadhibiwa baada ya kupokea vichapo kutoka kwa wapinzani wao.

 

10 years ago

Habarileo

Mashine za kisasa za ebola zafungwa

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa, Cosmas MwaifwaniKATIKA jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia usafiri wa anga, zimewasili nchini na tayari zimefungwa katika viwanja vikubwa vya ndege.

 

9 years ago

Mwananchi

Intaneti zafungwa Congo Brazzaville

Serikali ya Congo Brazzaville imesitisha huduma za mtandao na kufunga mawimbi ya redio ya Kimataifa ya Ufaransa (RFI) nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni 13 za hawala zafungwa Kenya

Kenya imeamuru kufungwa kwa kampuni 13 za kusafirisha na kupokea fedha ili kuzuia ufadhili wa makundi ya kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Meningitis; Shule zafungwa Niger

Shulenchini Niger zinafungwa kwa siku kadha wakati nchi hiyo inapojaribu kukabilian na mlipuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo

 

9 years ago

Mwananchi

Biashara zafungwa kupisha uchaguzi

Wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini, jana walifunga biashara zao kupisha Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zote zafungwa Liberia

Rais wa Liberia ametangaza kufungwa kwa shule zote katika jitihada za kuzuia kuenea kwa Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani