Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville

Claude-Leroy-talks141015BBP720BRAZZAVILLE, CONGO

KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.

Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Claude LeRoy ajiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Congo Brazaville

Aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, Kocha mfaransa Claude LeRoy amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

Leroy Claude, coach of Congo during the 2015 African Cup of Nations Qualifier match between South Africa and Congo, at Peter Mokaba Stadium on 14 October 2014 ©Muzi Ntombela/BackpagePix

LeRoy mwenye umri wa 67 aliuambia uongozi wa soka wa kocha wa Congo uamuzi huo muda mfupi baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia kwa kuifunga Ethiopia kwa mabao 2-1.

Kuna tetesi huenda kocha huyu akarudi kuifundisha timu ya taifa ya Cameroon, ambayo imemtimua kocha wake Volker Finke.

LeRoy,ana historia ya kuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

LeRoy ajiuzulu kuifunza Congo Brazaville

Kocha mfaransa Claude LeRoy, aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville,amejiuzulu kuifundisha timu hiyo

 

9 years ago

Mwananchi

Intaneti zafungwa Congo Brazzaville

Serikali ya Congo Brazzaville imesitisha huduma za mtandao na kufunga mawimbi ya redio ya Kimataifa ya Ufaransa (RFI) nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville

Wapiga kura nchini Congo-Brazzaville wameidhinisha marekebisho ya katiba yanayomruhusu rais wa sasa kuwania kwa muhula wa tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano na milipuko yatikisa Congo Brazzaville

Milipuko imesikika katika mji mkuu wa Congo, Brazzaville, kufuatia maandamano makubwa yaliyoitishwa kupinga rais Sassou Nguesso kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBC

LeRoy can inspire Congo - Oniangue

Congo midfielder Prince Oniangue says coach Claude LeRoy can lead the country to at least the last-eight at the 2015 Africa Cup of Nations.

 

9 years ago

BBC

LeRoy quits as Congo coach

Frenchman Claude LeRoy resigns as coach of Congo Brazzaville just hours after leading them to the final round of World Cup qualifying.

 

11 years ago

GPL

Milovan akubali kuifundisha Yanga

Kocha wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic amesema yuko tayari kuinoa Yanga kama watamuita achukue nafasi ya Ernie Brandts.
Yanga iko katika mchakato wa kusaka kocha mpya baada ya kumfuta kazi Brandts baada ya kikosi chake kulala kwa mabao 3-1 dhidi ya Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe. Akizungumza moja kwa moja kutoka Cacak, Serbia, Milovan alisema hajapata...

 

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yaanza vibaya Brazzaville

Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania imekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa shindano ya Afrika ‘All Africa Games’ yanayoendelea mjini Brazzaville, Congo .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani