LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville
BRAZZAVILLE, CONGO
KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.
LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.
Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Nov
Claude LeRoy ajiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Congo Brazaville
Aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, Kocha mfaransa Claude LeRoy amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.
LeRoy mwenye umri wa 67 aliuambia uongozi wa soka wa kocha wa Congo uamuzi huo muda mfupi baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia kwa kuifunga Ethiopia kwa mabao 2-1.
Kuna tetesi huenda kocha huyu akarudi kuifundisha timu ya taifa ya Cameroon, ambayo imemtimua kocha wake Volker Finke.
LeRoy,ana historia ya kuwa...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
LeRoy ajiuzulu kuifunza Congo Brazaville
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Intaneti zafungwa Congo Brazzaville
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Maandamano na milipuko yatikisa Congo Brazzaville
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79760000/jpg/_79760011_oniangue.jpg)
LeRoy can inspire Congo - Oniangue
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/15E0F/production/_86751698_462155766.jpg)
LeRoy quits as Congo coach
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvbZGP*Nhqa5CUoG1NI3lGjL5VxB0y6xxhJ-2x5cpxto0wM38J-XCr6AaTQwygTpPzBZoIlMalCuw*LZFJrCh6g/milovan.jpg?width=650)
Milovan akubali kuifundisha Yanga
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Twiga Stars yaanza vibaya Brazzaville