Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LeRoy quits as Congo coach

Frenchman Claude LeRoy resigns as coach of Congo Brazzaville just hours after leading them to the final round of World Cup qualifying.

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

LeRoy: French coach but African legend

French football coach and African legend

 

10 years ago

BBC

LeRoy can inspire Congo - Oniangue

Congo midfielder Prince Oniangue says coach Claude LeRoy can lead the country to at least the last-eight at the 2015 Africa Cup of Nations.

 

9 years ago

Mtanzania

LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville

Claude-Leroy-talks141015BBP720BRAZZAVILLE, CONGO

KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.

Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...

 

9 years ago

BBCSwahili

LeRoy ajiuzulu kuifunza Congo Brazaville

Kocha mfaransa Claude LeRoy, aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville,amejiuzulu kuifundisha timu hiyo

 

9 years ago

Bongo5

Claude LeRoy ajiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Congo Brazaville

Aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, Kocha mfaransa Claude LeRoy amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

Leroy Claude, coach of Congo during the 2015 African Cup of Nations Qualifier match between South Africa and Congo, at Peter Mokaba Stadium on 14 October 2014 ©Muzi Ntombela/BackpagePix

LeRoy mwenye umri wa 67 aliuambia uongozi wa soka wa kocha wa Congo uamuzi huo muda mfupi baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia kwa kuifunga Ethiopia kwa mabao 2-1.

Kuna tetesi huenda kocha huyu akarudi kuifundisha timu ya taifa ya Cameroon, ambayo imemtimua kocha wake Volker Finke.

LeRoy,ana historia ya kuwa...

 

10 years ago

BBC

Mannetti quits as Namibia coach

Ricardo Mannetti quits as coach of Namibia less than three weeks after leading them to the Cosafa Cup title.

 

10 years ago

BBC

Anigo quits as Esperance coach

Jose Anigo quits as Esperance coach after the Tunisian club lose at home to holders Al Ahly of Egypt in the Confederation Cup.

 

10 years ago

BBC

Renard quits as Ivory Coast coach

Herve Renard resigns as coach of Africa Cup of Nations winners Ivory Coast, paving the way for a move to French side Lille.

 

11 years ago

BBC

Troussier quits post as Sfaxien coach

Philippe Troussier leaves his position as CS Sfaxien coach following the Tunisian club's African Champions League exit.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani