LeRoy quits as Congo coach

Frenchman Claude LeRoy resigns as coach of Congo Brazzaville just hours after leading them to the final round of World Cup qualifying.
BBC
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC
10 years ago
BBC
LeRoy can inspire Congo - Oniangue
9 years ago
Mtanzania20 Nov
LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville
BRAZZAVILLE, CONGO
KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.
LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.
Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
LeRoy ajiuzulu kuifunza Congo Brazaville
9 years ago
Bongo519 Nov
Claude LeRoy ajiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Congo Brazaville
Aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, Kocha mfaransa Claude LeRoy amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.
LeRoy mwenye umri wa 67 aliuambia uongozi wa soka wa kocha wa Congo uamuzi huo muda mfupi baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia kwa kuifunga Ethiopia kwa mabao 2-1.
Kuna tetesi huenda kocha huyu akarudi kuifundisha timu ya taifa ya Cameroon, ambayo imemtimua kocha wake Volker Finke.
LeRoy,ana historia ya kuwa...
10 years ago
BBC
Mannetti quits as Namibia coach
10 years ago
BBC
Anigo quits as Esperance coach
10 years ago
BBC
Renard quits as Ivory Coast coach
11 years ago
BBC
Troussier quits post as Sfaxien coach