Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LeRoy ajiuzulu kuifunza Congo Brazaville

Kocha mfaransa Claude LeRoy, aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville,amejiuzulu kuifundisha timu hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Claude LeRoy ajiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Congo Brazaville

Aliyekua mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, Kocha mfaransa Claude LeRoy amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

Leroy Claude, coach of Congo during the 2015 African Cup of Nations Qualifier match between South Africa and Congo, at Peter Mokaba Stadium on 14 October 2014 ©Muzi Ntombela/BackpagePix

LeRoy mwenye umri wa 67 aliuambia uongozi wa soka wa kocha wa Congo uamuzi huo muda mfupi baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia kwa kuifunga Ethiopia kwa mabao 2-1.

Kuna tetesi huenda kocha huyu akarudi kuifundisha timu ya taifa ya Cameroon, ambayo imemtimua kocha wake Volker Finke.

LeRoy,ana historia ya kuwa...

 

9 years ago

Mtanzania

LeRoy ajiuzulu kuifundisha Congo Brazzaville

Claude-Leroy-talks141015BBP720BRAZZAVILLE, CONGO

KOCHA raia wa nchini Ufaransa, Claude LeRoy, aliyekuwa mkufunzi wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo Brazzaville, amejiuzulu kuifundisha timu hiyo.

LeRoy, mwenye umri wa miaka 67, aliuambia uongozi wa soka wa timu kwamba anatarajia kuacha kuifundisha timu hiyo kutokana na kubanwa na majukumu mengine.

Hivyo kocha huyo ameamua kufanya maamuzi hayo mara baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya makundi ya kusaka tiketi ya kombe la dunia baada ya kuifunga Ethiopia mabao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville

DR Congo ilitoka nyuma na kuishinda Congo kwa mabao 4-2 na kufika katika semi fainali ya mechi za kombe la Afrika.

 

9 years ago

BBC

LeRoy quits as Congo coach

Frenchman Claude LeRoy resigns as coach of Congo Brazzaville just hours after leading them to the final round of World Cup qualifying.

 

10 years ago

BBC

LeRoy can inspire Congo - Oniangue

Congo midfielder Prince Oniangue says coach Claude LeRoy can lead the country to at least the last-eight at the 2015 Africa Cup of Nations.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yatia aibu Congo Brazaville

Jahazi la Tanzania katika michezo ya Afrika nchini Congo –Brazzaville limezama katika michezo ya Afrika baada ya awali kwenda mrama katika michezo ambayo timu hizo zilishiriki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu Congo Brazaville wakimbilia DRC

Wakimbizi kutoka Congo Brazaville wanakimbilia Congo Kinshasa. Kunani?

 

10 years ago

BBCSwahili

Machafuko zaidi yaripotiwa Congo Brazaville

Machafuko zaidi yametokea katika mji mkuu wa Congo Brazaville polisi wanajaribu kuvunja maandamano ya kupinga awamu ya tatu ya Sassou Nguesso

 

10 years ago

BBCSwahili

Niqab yapigwa marufuku Congo Brazaville

Jamuhuri ya Congo- Brazaville imepiga marufuku vazi la Niqab katika maeneo ya umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani