Milipuko ya mabomu Arusha ina nia gani?
WAKATI matokeo ya uchunguzi wa milipuko ya mabomu ya awali katika Jiji la Arusha hayajajulikana, mlipuko mwingine wa bomu umetokea jijini humo na kujerhi vibaya watu zaidi ya 17 waliokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Mzaha mzaha utumbua usaha milipuko ya mabomu Arusha
Usiku wa kuamkia Julai 8, mwaka huu, bomu la kutupa kwa mkono lililipuka katika mgahawa wa Vama Restaurant uliopo maeneo ya Gymkhana na kujeruhi watu wanane, miongoni mwao wakipoteza baadhi ya viungo vya mwili vilivyolazimika kukatwa kutokana majeraha mabaya.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar
Watu wanne wamejeruhiwa baada ya milipuko minne inayoaminika kuwa ni mabomu kutokea katika maeneo matatu tofauti Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Milipuko ya mabomu: Mmefanya nini?
Wakati milipuko ya mabomu ikiongezeka nchini, hasa kwenye miji ya kitalii ya Arusha na Unguja, kumekuwa na sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu Serikali kutotoa mkakati thabiti wa kupambana na tatizo hilo linalozidi kuota mizizi.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria
Watu 20 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya mabomu yaliyotegwa kwenye magari mjini Hassakeh, Syria.
11 years ago
IPPmedia24 Feb
Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar
IPPmedia
IPPmedia
Milipuko miwili imetokea leo Zanzibar maeneo tofauti na kuzua hofu, mmoja katika Hoteli ya Kitalii ya Mercury iliyopo eneo la Forodhani na kwenye lango la kanisa Kuu la Anglikana eneo la Mkunazini. Home » Editorial ...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Jaji Maneto: Polisi wabebe lawama milipuko ya mabomu
Wakati matukio ya milipuko ya mabomu yakiendelea katika baadhi ya mikoa nchini, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Amir Manento amelinyooshea kidole jeshi la polisi kwa madai kuwa linahusika na baadhi ya matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu katika vipindi tofauti nchini.
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Je furaha ina sauti gani?
Je furaha inaweza kuwa na sauti gani ? Ni swali linaloulizwa na Umoja wa Mataifa ukielekea kwenye siku ya furaha duniani.
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Libya ina kiasi gani cha Uranium?
Wakaguzi wa silaha za nyuklia wa UN watatembelea Libya kukagua kiasi cha madini ya Uranium ,kilichohifadhiwa nchini humo, wakati huu kukiwa na wasiwasi wa hali ya usalama nchini Libya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania