Mabomu mawili yalipuka Libya
Mabomu mawili ya kutegwa ndani magari yamelipuliwa , moja karibu na ubalozi wa Misri na jingine karibu na ubalozi wa milki za kiarabu .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Nov
Mabomu yalipuka Zanzibar
MABOMU mawili yanayosadikiwa kuwa yalitegwa na watu wasiojulikana, yamelipuka yenyewe na kuzua taharuki kubwa katika eneo la Michenzani mjini hapa. Kamanda wa Kikosi cha Operesheni na Mafunzo cha Jeshi la Polisi Zanzibar, Juma Yussuf alithibitisha jana kulipuka kwa mabomu hayo.
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Mabomu mtawanyiko yatumiwa Libya
Human Rights Watch yasema Libya yatumia mabomu mtawanyiko ambayo yaumiza wasiokusudiwa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Mechi ilianza kwa kasi na dakika 1 tu ya mchezo fc bongo walipata bao lao la kwanza kwa mkwaju wa penalt lililofungwa na mchezaji wao machachari Abass Kunha.
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Volkeno yalipuka Chile
Volkeno mmoja huko Chile imelipuka ikitupa makaa ya moto na Jivu. Mlima Villarrica ilianza kulipuka jana.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Volcano yalipuka Chile
Volcano aina ya Calbuco imelipuka kwa muda mfupi huko Chile ikiwa ni mara ya kwanza ndani ya zaidi ya miaka 40.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Roketi ya Marekani ya Antares yalipuka
Roketi Antares ya Marekani imelipuka wakati ikiruka kuelekea kituo cha kimataifa cha anga za juu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMP-nnGcje5up3EJRYC060ERacqUVIKtPdv8*3FVoL0xa6j*lOWIWwB-8MvKz7J3Ozrl9EuoN-7KEAdPyyapsltO/explosion1.jpg?width=650)
ROKETI YALIPUKA WAKATI WA KUPAA NCHINI MAREKANI
Roketi Antares ikilipuka. Taswira baada ya mlipuko huo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MALORI YAGONGANA, YALIPUKA ENEO LA MIKESE MORO
TAARIFA zilizotufikia hivi punde kutoka Morogoro ni kwamba malori mawili yamegongana eneo la Mikese mkoani humo na kulipuka moto ambapo mojawapo ya lori lilikuwa na shehena ya mafuta! Mpaka sasa malori hayo yanaendelea kuteketea kwa moto. Taarifa zaidi na picha za tukio hili vitawajia punde!
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania