AGONGWA NA KUFARIKI DUNIA HAPOHAPO
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDBVHH3XfIAjRNd9sBPXm3Ax9Nb4zN26T4tpQmtBZCgX5sZTYMBKQE8ofk5YP6OpTPLH9l-cwWwdDGLvn5JQIpw/ajalinoma.jpg)
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Meshak John Lusito amegongwa na gari na kufariki dunia leo eneo la Gezaulole, Kigamboni Dar, aliyemgonga amekimbia na gari lake na inasemekana ni kiongozi! (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +255 753 715 779)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Apr
NYANZA: Mwalimu ajinyonga, mtendaji agongwa na kufariki papo hapo
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
11 years ago
CloudsFM23 Jul
MSICHANA ABAKWA HADI KUFARIKI DUNIA
Mfanyakazi wa ndani, Isabella Andrew (18), amefariki dunia na kifo chake kikidaiwa kusababishwa na kubakwa na watu wasiojulikana.Mwili wa msichana huyo ulikutwa ukiwa umeharibika katika moja ya pagale, lililopo Area C, Dodoma Mjini na mwandishi wetu alishuhudia ukitolewa hapo kwa machela huku polisi wakiwahoji mashuhuda wa tukio hilo.
Mkazi wa Mtaa wa Kiwanja cha Ndege, Jackson Coy aliyekuwa akiishi na binti huyo alisema msichana huyo alipotea tangu Jumamosi iliyopita.
Kamanda wa Polisi Mkoa...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Kikongwe apigwa risasi na polisi na kufariki dunia
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
KIKONGWE mmoja mkazi wa kitongoji cha Ilolo kata ya Iglansoni tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi, Joyce Maragabu (65),amefariki dunia baada ya kupigwa kwa risasi na askari polisi waliokuwa wakijihami dhidi ya kundi kubwa la wananchi waliokuwa wakitaka kuwavamia,ili wasiweze kumkamata mhalifu.
Askari hao walikuwa wakitaka kumkamata Nkida Gwisu, aliyekuwa akituhumiwa kumshambulia mtu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeGD3wiJOr9QeaC6FTs46HDdunM9Egwz4usB*N-pmkP0nKp6GOFtUWElLUgbczQlcue8tyqBP4PIAQvIBJCee7BP/mali.jpg)
MALI ZA BILIONEA ZAZUA TAFRANI BAADA YA KUFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2BFK65p4CAQ/VUzWjXGVg1I/AAAAAAAAsFE/wiIUkIaNqNk/s72-c/4%2B(1).jpg)
WATANO WATHIBIKA KUFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM KUTOKANA NA MAFURIKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2BFK65p4CAQ/VUzWjXGVg1I/AAAAAAAAsFE/wiIUkIaNqNk/s400/4%2B(1).jpg)
1. Mnamo tarehe 06/05/2015 majira ya saa moja kamili usiku huko maeneo ya Magomeni Kinondoni jijini Dar es Salaam mtu mmoja jina SHABAN S/O IDD, Miaka 73, Mkazi wa Manzese alisombwa na maji ya mto...
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Wanawake 8,500 kufariki dunia kila mwaka kwa sababu ya ujauzito
Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Evidence for Action (E4A) Tanzania,Craig John Felar, akitoa mada yake juu ya kampeni ya ‘Muokoe Mama muokoe mtoto mchanga’ (Mama ye) kwenye semina iliyohudhuriwa na baadhi ya viongozi kutoka vilabu vya waandishi habari mikoa mbalimbali nchini .Semina hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na UTPC,ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Lion hotel jijini Dar.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vilabu vya waandishi wa habari Tanzania ,wakifuatlia...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WACHIMBAJI WA DHAHABU ZAIDI YA 20 WADAIWA KUFARIKI DUNIA KWA KUFUKIWA KIFUSI HUKO KAHAMA
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha amesema kuwa usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivamia machimbo hayo ambayo yaliachwa kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya...