NEWS ALERT: WACHIMBAJI WA DHAHABU ZAIDI YA 20 WADAIWA KUFARIKI DUNIA KWA KUFUKIWA KIFUSI HUKO KAHAMA
Wachimbaji wadogo wadogo wapatao 20 wa dhahabu katika machimbo ya madogo yaliyopo kwenye kijiji cha Kalole kata ya Runguya tarafa ya Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wamedaiwa kufariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo hayo.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha amesema kuwa usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivamia machimbo hayo ambayo yaliachwa kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Wanane wahofi wa kufukiwa machimbo ya dhahabu Kahama
NA PAUL KAYANDA, KAHAMA
WATU zaidi ya wanane wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika machimbo ya Nyangarata katika Kata ya Lunguya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya watu wapatao 20 kuingia katika shimo la uchimbaji dhahabu na kifusi hicho kikaanguka wakiwa ndani.
Alisema ingawa idadi kamili juu ya waliokuwa ndani ya shimo inakadiriwa kuwa 20 lakini baada ya...
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Watu zaidi wahofiwa kufukiwa na kifusi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Breaking News: Wachimbaji wafukiwa na kifusi, Chunya-Mbeya
Hali ya taharuki kwenye eneo la tukio
Tinga tinga likiendelea na juhudi za uokoaji hivi sasa.
Taarifa zilizotufikia hivi punde:
Wachimbaji kadhaa wa migodi (idadi yao haijafahamika) hivi punde wamefukiwa na kifusi cha udongo katika Kijiji cha Sangambi kilichopo Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya hivi sasa, Juhudi za kuwaokoa bado zinaendelea muda huu.
Endelea kufuatilia habari zetu ili kufahamu kitakachojiri kuhusu tukio hilo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pi6CvMfdI_E/VBCtiyWFj_I/AAAAAAAGiqo/0yFhRYwD4Tw/s72-c/1.jpg)
NEWS ALERT:Watu wawili wanaidaiwa kufariki kufuatia ajali ya Basi la Super Feo kuacha njia na kugonga mti
![](http://1.bp.blogspot.com/-pi6CvMfdI_E/VBCtiyWFj_I/AAAAAAAGiqo/0yFhRYwD4Tw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-auIPRMy92Kw/VBCtjA2AAHI/AAAAAAAGiqs/KMGVmk4n0QU/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hKS7Kybrzwc/VWCQnOJ29GI/AAAAAAAAdnY/2sDsAUEqNyA/s72-c/1.jpg)
News alert: Watu sita akiwemo mwalimu wa shule ya msingi wakamatwa na mifupa ya albino Kahama
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...