Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanane wahofi wa kufukiwa machimbo ya dhahabu Kahama

kamugishaNA PAUL KAYANDA, KAHAMA

WATU zaidi ya wanane wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika machimbo ya Nyangarata katika Kata ya Lunguya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya watu wapatao 20 kuingia katika shimo la uchimbaji dhahabu na kifusi hicho kikaanguka wakiwa ndani.

Alisema ingawa idadi kamili juu ya waliokuwa ndani ya shimo inakadiriwa kuwa 20 lakini baada ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATU 19 WAFARIKI KATIKA MACHIMBO YA DHAHABU KAHAMA

Wachimbaji wadogo wadogo 19 wa dhahabu wamefariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha kubomoka kwa mashimo hayo katika machimbo ya kijiji cha Karore, Kata ya Runguya, Tarafa ya Msalala mkoani Kahama. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Justus Kamugisha, amesema usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivavamia machimbo hayo ambayo yalishaachwa kuchimbwa muda...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WACHIMBAJI WA DHAHABU ZAIDI YA 20 WADAIWA KUFARIKI DUNIA KWA KUFUKIWA KIFUSI HUKO KAHAMA

Wachimbaji wadogo wadogo wapatao 20 wa dhahabu katika machimbo ya madogo yaliyopo kwenye kijiji cha Kalole kata ya Runguya tarafa ya Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wamedaiwa kufariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo hayo.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha amesema kuwa usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivamia machimbo hayo ambayo yaliachwa kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Utoro shuleni Bukombe 50% - Kuendekeza ngono, machimbo ya dhahabu vyachangia

Mwajuma Mohamed, mkazi wa Ushirombo wilaya ya Bukombe (15) akiwa amempakata mtoto wake wa miezi 7.Pendo Sungu amepata ujauzito akiwa bado mwanafunziNa Mariam Mkumbaru, Bukombe
MATARAJIO ya wazazi wengi ni kuona watoto wanapoanza shule wanahitimu masomo yao kwa kufikia ngazi za juu za elimu. Hata hivyo, matarajio hayo hayafikiwi katika maeneo mengi hapa nchini kwani watoto wengi hushindwa kuhitimu kutokana na tatizo la utoro.
Tatizo la utoro shuleni ni changamoto kubwa katika sekta ya elimu nchini kwani shule nyingi katika maeneo mbalimbali zinakabiliwa na changamoto hiyo. Miongoni mwa wilaya ambazo tatizo hilo ni kubwa ni pamoja na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi wahofiwa kufukiwa na kifusi

Zaidi ya Watu 130 wahofiwa kufukiwa na kifusi cha jengo lililoporomoka nchini India

 

9 years ago

Mtanzania

Wachimbaji waokolewa baada ya kufukiwa ardhini siku 41

Pg 1Pg 1BPg 1*Waliishi kwa kula mende, mizizi  

* Waligunduliwa na mchimbaji aliyekwenda kuiba mchanga wa madini

Na Waandishi Wetu, Kahama na Dar

WACHIMBAJI wadogo watano katika mgodi wa Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,  wameokolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo ardhini kwa siku 41.

Wakizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wamelazwa kwa matibabu jana, wachimbaji hao walisema waliishi siku zote hizo kwa kula wadudu kama mende na mizizi mbalimbali.

Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

GPL

MRISHO MPOTO: AZALIWA NA MAAJABU SHINGONI, ATAKIWA KUFUKIWA

MPENZI msomaji, baada ya wiki iliyopita kumalizika kwa simulizi tamu yenye kukufunza mambo mengi ya kiroho kutoka kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu Ubungo-Kibangu jijini Dar, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’, wiki hii tunawaletea simulizi nyingine mpya. Simulizi hii inamhusu mwandishi wa vitabu vya mashairi na hadithi zenye mafunzo, msanii wa ngoma za asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto...

 

11 years ago

GPL

WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR

Shughuli ya uokoaji ikiendelea. Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.…

 

10 years ago

GPL

WATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA

Rashid Mkumba Hamis ambaye ni mmoja wa majeruhi aliyevunjika mguu. Majeruhi katika tukio hilo wakihojiwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

9 years ago

GPL

WAKUTWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA VIFUSI MGODINI KWA SIKU 41

Ofisa Habari wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani