Utoro shuleni Bukombe 50% - Kuendekeza ngono, machimbo ya dhahabu vyachangia
Na Mariam Mkumbaru, Bukombe
MATARAJIO ya wazazi wengi ni kuona watoto wanapoanza shule wanahitimu masomo yao kwa kufikia ngazi za juu za elimu. Hata hivyo, matarajio hayo hayafikiwi katika maeneo mengi hapa nchini kwani watoto wengi hushindwa kuhitimu kutokana na tatizo la utoro.
Tatizo la utoro shuleni ni changamoto kubwa katika sekta ya elimu nchini kwani shule nyingi katika maeneo mbalimbali zinakabiliwa na changamoto hiyo. Miongoni mwa wilaya ambazo tatizo hilo ni kubwa ni pamoja na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Wanane wahofi wa kufukiwa machimbo ya dhahabu Kahama
NA PAUL KAYANDA, KAHAMA
WATU zaidi ya wanane wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika machimbo ya Nyangarata katika Kata ya Lunguya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya watu wapatao 20 kuingia katika shimo la uchimbaji dhahabu na kifusi hicho kikaanguka wakiwa ndani.
Alisema ingawa idadi kamili juu ya waliokuwa ndani ya shimo inakadiriwa kuwa 20 lakini baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aTKgMOlzGah*BW26rJP2HUnoxwtIxXULHMr53nYJhksWaLzJi6EtxgJ9kL*vccuGcNs-RzqwgvyTOFTZIVXLf1b/breakingnews.gif)
WATU 19 WAFARIKI KATIKA MACHIMBO YA DHAHABU KAHAMA
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Shinyanga yaongoza utoro wa watoto shuleni
MKOA wa Shinyanga umetajwa kuongoza kwa kuwa na watoto wengi wasiohudhuria shule ambapo hukimbilia katika uchimbaji wa madini. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yY4Xe6DNog8/XnjNyQm-X1I/AAAAAAALk1w/l73Q1Yjo36Y-ua5Joq3KK2idh8HFs2kEwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_648_800x420_0_0_auto.jpg)
WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI
9 years ago
VijimamboCOMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM
11 years ago
Habarileo10 Feb
Vipigo vyachangia wanawake kukimbia ndoa
VIPIGO ndani ya ndoa pamoja na udhalilishwaji ni mojwapo ya changamoto zinazowakabili baadhi ya wanawake na kulazimika kukimbia nyumba zao wengine wakiwa na watoto wao huku wengine wakiwaacha na baba zao.
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Waride: Acheni kuendekeza makundi
NA ALLY NDOTA, ZANZIBAR
KATIBU wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (NEC), Zanzibar wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Waride Bakari Jabu, amewataka wana CCM kutoendeleza makundi kwani kufanya hivyo ni kudhoofisha nguvu za Chama hicho.
Alitoa onyo hilo wakati akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu za Majimbo ya Mtoni na Magogoni, Wilaya za Kichama za Mfenesini na Magharibi, Unguja.
Alisema viongozi wa CCM katika majimbo yote visiwani hapa, waache kuendeleza makundi yaliyotokana...
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Mbatia: Acheni kuendekeza ushabiki bungeni