Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vipigo vyachangia wanawake kukimbia ndoa

VIPIGO ndani ya ndoa pamoja na udhalilishwaji ni mojwapo ya changamoto zinazowakabili baadhi ya wanawake na kulazimika kukimbia nyumba zao wengine wakiwa na watoto wao huku wengine wakiwaacha na baba zao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Vipigo kwa wanawake vikomeshwe

IMEKUWA ni kawaida katika nchi nyingi za Kiafrika na Asia kutokana na mfumo dume ambao umejikita hasa katika nchi hizi wanaume kuwapiga wake zao. Vipigo hivi huwa havichagui elimu, na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vipigo huathiri wanawake kisaikolojia

LICHA ya kuwepo kwa sheria mbalimbali zinazowalinda wanawake lakini vitendo vya ukatili kwa wanawake vimekuwa vikiongezeka.Kuongezeka kwa vitendo hivyo kunachangiwa na kukosekana kwa elimu hasa katika baadhi ya maeneo ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Utoro shuleni Bukombe 50% - Kuendekeza ngono, machimbo ya dhahabu vyachangia

Mwajuma Mohamed, mkazi wa Ushirombo wilaya ya Bukombe (15) akiwa amempakata mtoto wake wa miezi 7.Pendo Sungu amepata ujauzito akiwa bado mwanafunziNa Mariam Mkumbaru, Bukombe
MATARAJIO ya wazazi wengi ni kuona watoto wanapoanza shule wanahitimu masomo yao kwa kufikia ngazi za juu za elimu. Hata hivyo, matarajio hayo hayafikiwi katika maeneo mengi hapa nchini kwani watoto wengi hushindwa kuhitimu kutokana na tatizo la utoro.
Tatizo la utoro shuleni ni changamoto kubwa katika sekta ya elimu nchini kwani shule nyingi katika maeneo mbalimbali zinakabiliwa na changamoto hiyo. Miongoni mwa wilaya ambazo tatizo hilo ni kubwa ni pamoja na...

 

10 years ago

GPL

ISABELA: WANAWAKE TUSHINIKIZE NDOA TUOLEWE

Na Mayasa Mariwata MSANII Isabela Mpanda ambaye yupo kwenye mikakati mizito ya kuolewa na msanii mwenzie Luten Karama, amewataka wasanii wa kike kuwa makini pindi wanapoahidiwa kuolewa kwa kushikilia bango mpaka kieleweke kwa kuwa ndoa si lelemama. Msanii wa kikundi cha Scorpion Girls, Isabela Mpanda. Akibonga machache na paparazi wetu alisema, kinachowaponza wasanii wengi wa kike kuishia kuzaa bila kuolewa ni wengi kutotilia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake hukumbana na ukatili lukuki katika ndoa

WAKATI mashirika na wadau mbalimbali wakifanya jitihada kuhakikisha haki za mtoto zinalindwa, baadhi ya familia zimekuwa zikikabiliwa na wakati mgumu, hasa kwa upande wa wanawake. Hilo linatokana na ukweli kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana.

Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa.

Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na wachumba watakaotengeneza njia ya kuelekea kwenye ndoa.

Naomba katika hili nieleweke...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SOPHIA MWAKAGENDA: Mwanasiasa anayeshauri wanawake masuala ya ndoa

SOPHIA Mwakagenda, ndie tunaemzungumzia leo katika safu hii ya Mwanamama inayokujia kila Jumamosi. Mwanamama huyu kijana ana kipaji cha kuongoza na kuwahudumia watu wengine. Pamoja na mapenzi anayoyaonyesha kwenye siasa...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN

Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke). Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.…

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4

Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani