Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISABELA: WANAWAKE TUSHINIKIZE NDOA TUOLEWE

Na Mayasa Mariwata MSANII Isabela Mpanda ambaye yupo kwenye mikakati mizito ya kuolewa na msanii mwenzie Luten Karama, amewataka wasanii wa kike kuwa makini pindi wanapoahidiwa kuolewa kwa kushikilia bango mpaka kieleweke kwa kuwa ndoa si lelemama. Msanii wa kikundi cha Scorpion Girls, Isabela Mpanda. Akibonga machache na paparazi wetu alisema, kinachowaponza wasanii wengi wa kike kuishia kuzaa bila kuolewa ni wengi kutotilia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NDOA YA ISABELA KARAMA YABUMA

Story:Mayasa Mariwata
MSANII wa muziki Bongo, Isabela Mpanda amesema kuwa anasikitika kuona mwaka umeisha mipango yake ya kufunga pingu za maisha na mwandani wake wa siku nyingi Luten Karama imegonga mwamba na kutamani kuolewa ndoa ya kimyakimya. Msnii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda akiwa na mpenzi wake Luteni Kalama. Akizungumza kwa masikitiko mwanadada huyo aliyewahi kutwaa taji la Miss Ruvuma alisema, maisha ya uchumba...

 

11 years ago

Habarileo

Vipigo vyachangia wanawake kukimbia ndoa

VIPIGO ndani ya ndoa pamoja na udhalilishwaji ni mojwapo ya changamoto zinazowakabili baadhi ya wanawake na kulazimika kukimbia nyumba zao wengine wakiwa na watoto wao huku wengine wakiwaacha na baba zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake hukumbana na ukatili lukuki katika ndoa

WAKATI mashirika na wadau mbalimbali wakifanya jitihada kuhakikisha haki za mtoto zinalindwa, baadhi ya familia zimekuwa zikikabiliwa na wakati mgumu, hasa kwa upande wa wanawake. Hilo linatokana na ukweli kuwa...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN

Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke). Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

SOPHIA MWAKAGENDA: Mwanasiasa anayeshauri wanawake masuala ya ndoa

SOPHIA Mwakagenda, ndie tunaemzungumzia leo katika safu hii ya Mwanamama inayokujia kila Jumamosi. Mwanamama huyu kijana ana kipaji cha kuongoza na kuwahudumia watu wengine. Pamoja na mapenzi anayoyaonyesha kwenye siasa...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana.

Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa.

Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na wachumba watakaotengeneza njia ya kuelekea kwenye ndoa.

Naomba katika hili nieleweke...

 

10 years ago

GPL

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana. Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa. Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-5

Natumaini utakuwa u-mzima wa afya kabisa. Kwa wiki kama nne mfululizo tumekuwa tukiangalia juu ya tatizo la wanawake wengi kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia sababu za tatizo hilo na tukaangalia athari zake na wiki iliyopita na kujifunza njia za kutatua tatizo hilo. Kama ilivyo matatizo mengine tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa sana kama...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4

Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani