NYANZA: Mwalimu ajinyonga, mtendaji agongwa na kufariki papo hapo
>Watu wawili wamekufa mkoani Mara katika matukio mawili tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDBVHH3XfIAjRNd9sBPXm3Ax9Nb4zN26T4tpQmtBZCgX5sZTYMBKQE8ofk5YP6OpTPLH9l-cwWwdDGLvn5JQIpw/ajalinoma.jpg)
AGONGWA NA KUFARIKI DUNIA HAPOHAPO
11 years ago
Habarileo13 Dec
Basi laua watu 12 papo hapo
WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 90 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Korogwe, Tanga kwenda Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka. Ajali hiyo ilitokea jana saa 1.30 asubuhi kwenye barabara kuu ya Segera-Chalinze katika kijiji cha Kwalaguru kata ya Kwedizinga wilayani hapa.
10 years ago
Habarileo17 Apr
SMZ kuanzisha adhabu za papo hapo barabarani
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inakusudia kuanzisha adhabu za papo kwa hapo kwa ajili ya kudhibiti makosa ya barabarani ambayo baadhi yanafanywa na madereva kwa uzembe na kusababisha madhara makubwa.
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Wachafua mazingira faini papo kwa hapo
9 years ago
Habarileo17 Sep
Majaribio ya tozo ya papo hapo barabarani kuanza leo
MFUMO mpya wa tozo ya papo kwa hapo kwa njia ya kielektroniki na kanuni ya kuweka nukta katika leseni za udereva kuanza kutumika leo kwa majaribio katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi21 Apr
NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hu8ipWRrZEU/VmE_-7FmYwI/AAAAAAAIKGs/N1iBC8jrmk8/s72-c/blogger-image-8001836.jpg)
WAWILI WAFARIKI DUNIA PAPO HAPO LEO MKOANI IRINGA.
Ajali hiyo imetokea leo alfajiri baada ya dereva wa Gari hilo kujinusuru kugongana uso kwa uso na gari jingine, hivyo kulazimika kuingia nyuma ya lori na kupelekea kifo chao.
Kwa mujibu wa Wakala Afisa mauzo wa magazeti ya Mwananchi Mkoa wa Iringa Alex Kadea ambae alifika...
10 years ago
Michuzi03 Nov
JENGA TANZANIA FOUNDATION YAWALETEA KIPIMO CHA MALARIA PAPO HAPO !.