Wachafua mazingira faini papo kwa hapo
>Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto imeagizwa kuanza utekelezaji wa utozaji wa faini ya papo kwa papo ya Sh50,000 kwa watakaobainika kuchafua mazingira kwa makusudi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Nov
JENGA TANZANIA FOUNDATION YAWALETEA KIPIMO CHA MALERIA PAPO KWA HAPO
Kipimo hicho chenye uwezo wa kugundua vijidudu vya...
11 years ago
MichuziWASHINDI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KWA KANDA YA PWANI WAPATIKANA NA KUKABIDHIWA VITITA VYAO PAPO HAPO
10 years ago
Michuzi19 Feb
WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA AJALI YA BASI KUGONGANA USO KWA USO NA LORI
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
11 years ago
Habarileo13 Dec
Basi laua watu 12 papo hapo
WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 90 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Korogwe, Tanga kwenda Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka. Ajali hiyo ilitokea jana saa 1.30 asubuhi kwenye barabara kuu ya Segera-Chalinze katika kijiji cha Kwalaguru kata ya Kwedizinga wilayani hapa.
10 years ago
Habarileo17 Apr
SMZ kuanzisha adhabu za papo hapo barabarani
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inakusudia kuanzisha adhabu za papo kwa hapo kwa ajili ya kudhibiti makosa ya barabarani ambayo baadhi yanafanywa na madereva kwa uzembe na kusababisha madhara makubwa.
9 years ago
Habarileo17 Sep
Majaribio ya tozo ya papo hapo barabarani kuanza leo
MFUMO mpya wa tozo ya papo kwa hapo kwa njia ya kielektroniki na kanuni ya kuweka nukta katika leseni za udereva kuanza kutumika leo kwa majaribio katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi19 Apr
NYANZA: Mwalimu ajinyonga, mtendaji agongwa na kufariki papo hapo
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hu8ipWRrZEU/VmE_-7FmYwI/AAAAAAAIKGs/N1iBC8jrmk8/s72-c/blogger-image-8001836.jpg)
WAWILI WAFARIKI DUNIA PAPO HAPO LEO MKOANI IRINGA.
Ajali hiyo imetokea leo alfajiri baada ya dereva wa Gari hilo kujinusuru kugongana uso kwa uso na gari jingine, hivyo kulazimika kuingia nyuma ya lori na kupelekea kifo chao.
Kwa mujibu wa Wakala Afisa mauzo wa magazeti ya Mwananchi Mkoa wa Iringa Alex Kadea ambae alifika...
11 years ago
Michuzi21 Apr
NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO